OTE=samike;12034653]Huwa wanasomo maalumu la mwandiko...na lazima uwe mbayaaa ni kama password...ila utafiti unaonyesha madaktari waliopitia st kayumba wanamiandiko mibaya zaidi...ila wale wa st za uhakika kwenda kwa minbus shule miandiko yao iko simple
Ni kanuni zipi zilizofuatwa na huu utafti uchwala Wa hawa wachumia tumbo na mawakala wa ccm?wanaojiita Twaweza?na kwann watoe kipindi hiki wakati wa uchaguzi umekaribia? na je ni wapi au sehem gani /kijiji gani/mtaa gani /taasis gani iliwahi kufanyiwa uchunguzi na wakatoa majibu kwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.