:spy:Huyu pempars sorry Nepi ooh no Nape, kusema ukweli Mungu anisamehe sana maana simpendiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii bora afe tu, kama siasa afanyazo siyo hizo kuna kitu. Ingekuwa enzi za Mwalimu hata kazi ya kupiga brush nyinyiem asingepewa. Kashindwa yeye na chama chake...
"Hata aibu hana"
Aitoe wapi aibu? Umesahau masaburi aliwaeleza watu fulani kuwa wafikiri kwa kichwa na si makalio. aliyasema haya kwa uzoefu wa yeye na chama chake na inadhihirika sasa kwa nyinyiemu wengi hufikiri kwa ****** ndio maana pumba nyingi. CDM wanakazi kubwa ya kuisafisha nchi ya zao...
"Kazi afanye Tibaijuka, wapinzani warukie hoja, kwi kwi kwi teh teh teh."
:spy:Sawa amefanya Tibaijuka baada ya kusukumwa na nani? Unataka kuwadanganya wenzio tu, kwani E. Mwaiposya alikuwa hajui adha ya wana Nzasa, alishawahi kwenda kuonana na Tibaijuka na majibu yake yalikuwaje?
Mkutano...
Kwa hali tuliyonayo sasa hakuna mtanzania au hata muismani asiyejua kwamba unazi wa Lukuvi umezidi anashindwa hata kuzungumza ukweli wa hali ilivyo ni Waziri stupdy. Yeye kila jambo anajua nilazima liwe la kichama kila kitu kanuni Binafsi nime mchukia sana kwa sanaa zake. Niwasihi wenye hasira...
Leo ndio nimethibitisha kwamba Nchemba si mzima, kama jana alimsamehe iweje leo arudishe swala hilohilo Bungeni. Nawashangaa hata wanao mrespect kichaa kama huyo. Nyambafu kabisa inaelekea haiwezi kutumia elimu yake vizuri.
Mimi na kuuliza kwamba wewe pia ni mmoja wa hao wapuuzi sio? haiwezekani uwe na akili timamamu na si mpuuzi akaamua kwa makusudi kujifanya hujui kwamba KIKWETE rais wa wachakachuzi ni DHAIFU narudia tena ni DHAIFU. Na acha upuuzi wako kudai Watanzania walimpigia kura na kwamba alishinda kihalali...
"Mbona kama vile mwandiko wa mabango yote ni kama unafanana!??
Ama kweli, "ndio maana Kenya wanatudharau"
Si kenya tu Kamanda Dunia nzima wanaidharau siasa ya Tanzania kwasababu ya CCM. Usanii mwingi sana, Kumbukeni Nepi sijui Nape ni msanii na alishatangaza kuwa ni msanii, yawezekana kuna...
Chamsingi ni kukaza buti sio kukua kujadili udini, ukabila au mgawanyo wa madaraka. Ikumbukwe kwamba CCM na Serikali yake ni Chama kinachoongozwa kutegemea upepo uwe wa asili au wa kuzalishwa. Maana yangu hatautakapokosekana upepo watauzalisha, tumeona kwa CUF nacho kilikuwa chama cha kidini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.