Leo ni tarehe 30 Septemba kuna baadhi ya watoto wametimiza wiki mbili kwenye shule zao ambazo walijiunga kwa ajili ya pre form one inawezekana kuna ukakasi kwenye kichwa cha habari lakini endelea nami nikufafanulie ni kwa namna gani pre form zinaharibu kizazi cha leo
1a) Katika kizazi hiki...
Nakushauri soma ni course ambayo inahitaji wataalamu wengi ntakupa takwimu ndogo tu kwa siku kila mkoa kuna ajali zaidi ya 10 za bodaboda ukitoa ajari nyingine au maradhi mengine yanayohitaji physiotherapy so soma utanishukuru baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.