Kaka hapo umepotoka.mwaka jana mbaazi tumeuza debe shilingi 50,000 kwa walio wahi,wengine 45,000.watu tukahamasika kuongeza mashamba,labda mwaka huu bei itapanda zaidi.hv navokwmbia bei ilotangazwa ni 700(sawa na 14,000 kwa debe).nenda Gairo kaone
Yaan nimeona hii katika tarafa moja inaiitwa mwaya huko mahenge.wafugaji wakisukuma wanashindana kufyeka miti tena kuelekea milimani.unashangaa kuna uongozi tokea katibu tarafa hadi kijiji,lakini hatua wala karipio lolote limefanywa
Sent from my Redmi Y1 using JamiiForums mobile app
Sheria inaruhusu ukauze popote ikiwa Tu,umekwenda kureport mathalani ofisi ya madini chunya.wao baada ya kuthamini thamani ya madini na kiasi cha royality unachopaswa kulipa,wanafunga seal unapewa certificate ya kusafirishia Hadi huko unapodhamiria ikiwa ndani ya mipaka ya nchi.
Hivi ukitoa maneno yoote hapo uloandika ukabakiza "msaliti Lisu", ukiambiwa elezea utaandika usaliti wake nini au umekariri tu!?
Sent from my Redmi Y1 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.