itabhanya Balasi
Member
- Apr 1, 2017
- 14
- 12
Sheria inaruhusu ukauze popote ikiwa Tu,umekwenda kureport mathalani ofisi ya madini chunya.wao baada ya kuthamini thamani ya madini na kiasi cha royality unachopaswa kulipa,wanafunga seal unapewa certificate ya kusafirishia Hadi huko unapodhamiria ikiwa ndani ya mipaka ya nchi.Kwani sheria inasemaje juu ya mahala mtu anaweza kuuza madini yake? Kuna masoko mangapi ya kuuza na kununua dhahabu nchini? Ukichimba dhahabu Chunya ,Je huwezi kwenda kuiuza Kwenye solo la Kahama?