Tangu esrael wavamie parestina hakuna cku wameacha kuua watoto wa kipalestina tena wakati mwingine ni kwa kukusudia bila hata ya mapambano ya silaha. Je na wakati wote huo wanaua watoto wa kipalestina kulikuwa na ghala la silaha wapi?
Hizi ni njama ya esrael na washirika wake kutaka kuhalalisha...
Watu wengi hudhani utajiri na furaha ya mtu mmoja mmoja huletwa na serikali lkn si kweli. Nchi hii hii iliyoitwa inauchumi wa kati ndio inatajiri wa kwanza kwa umri mdogo barani Afrika.
Lakini jambo la ziada ni kuwa unatumia vipimo gani kubaini mwenye furaha na asiye na furaha ? Tukiambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.