KIJANA mmoja mtanashati aliingia kwenye hoteli moja kama mteja, akaomba aonane na bosi. Baada ya kuruhusiwa, mazungumzo yalikwenda kama hivi;
Mteja: Samahani, naomba kujua kama chumba namba 39 kiko wazi.
Bosi: Ndiyo, kiko wazi.
Mteja: Naweza kupata chumba hicho?
Bosi: Ndiyo unaweza kupata...