Mwenye post hana maana ni mpumbavu,hivi hajui kuwa Mahakama ni Mhimili unaojitegemea?Tundu kama anaitaka hiyo nafasi ya TLS ajiuzilu nafasi ya kiongozi wa CDM maana hakuna MTU aliye kiongozi katika chama cha siasa anaruhusiwa kushika nafasi hiyo nyeti.
Tumia akili yako vizuri siyo kudanganya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.