Recent content by issa mkemwema

  1. I

    Tundu Lissu aianza rasmi safari yake kuelekea urais wa TLS

    Hafai kushika nafasi hiyo kwa sababu ni kiongozi wa chama cha siasa kama anaitaka aachie nafasi ya kiongozi ktk chadema na Bungeni
  2. I

    Baada ya Lissu kuchukua fomu ya Urais, Dr Mwakyembe atishia kuifuta TLS

    Mwenye post hana maana ni mpumbavu,hivi hajui kuwa Mahakama ni Mhimili unaojitegemea?Tundu kama anaitaka hiyo nafasi ya TLS ajiuzilu nafasi ya kiongozi wa CDM maana hakuna MTU aliye kiongozi katika chama cha siasa anaruhusiwa kushika nafasi hiyo nyeti. Tumia akili yako vizuri siyo kudanganya...
  3. I

    MSUMBIJI: Mwanamke wa Kitanzania abakwa mpaka kufa. Serikali imefungwa plasta?

    Na sisi Watanzania tujitambue kwann tusikomae na Nchi yetu?watu mnakubali kufanya duni Nchi yenu mnawekeza kwingine muyaone sasa!;
  4. I

    Mganga Mkuu wa wilaya ya Singida, Dr. Erick Bakuza aachia ngazi

    Huyo dr. hafai hata kwa matembele bora ajitumbue mwenyewe
  5. I

    Madiwani wamfutia hati ya umiliki shamba mwenyekiti CCM Monduli

    Lini mamlaka ya kufuta Hati miliki madiwani mlipata?hata sheria kumbe hamzijui!!!!
  6. I

    Humphrey Polepole azibwa mdomo na fikra

    Ilooooo!unamuonea wivu achia chadema njoo tu na we utakula na kusaza chakula kwa baba hakiishi
  7. I

    Ya Magufuli na Dangote ni sahihi kuyashabikia kama mtu uko timamu?

    Uliyepost tumia akili hivi mkataba wa Kiwanis change wa Dangote
  8. I

    Rais Magufuli afanya mazungumzo na Bilionea Dangote

    Hii Nchi utadhani wanahabari wote wamesharogwa kuongea uongo inawasaidia nn? Aibu
Back
Top Bottom