Kweli umenena. Kuna kero nyingine unakata tiketi ofisini kabisa hapo UBT, unapoingia ndani ya stend utakuta mtu mwingine anakuomba tiket anakupa nyingine, anakulazimisha kupanda gar ambalo hulipendi maana kuna gari wanasema zinazidi wakipima mzani watu hawayataki kwa sabbu yakizidi ni usumbufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.