Recent content by Israeli Zephania

  1. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichotokea Arusha jana, CHADEMA fanyeni hivi tuchangie ruzuku mliyonyimwa na msajali

    WARAKA RASMI WA HEKIMA, UZALENDO NA UWAJIBIKAJI KWA CHADEMA:" KUHUSU MIKAKATI YA KUJITEGEMEA BAADA YA RUZUKU KUFUTWA 1. KUWANDIKISHA WANACHAMA WAPYA KATIKA KILA MKUTANO WA KUCHANGISHA Baraza Kuu na ngazi zote za chama zinahimizwa kuhakikisha kuwa mikutano ya “tone tone” haibaki kuwa ya...
  2. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Side effect za CHADEMA kutoshiriki Uchaguzi (Kufeli kwa Campaign ya No Reform No Reaction lawama zangu nazitupa kwa Intelligence ya chama)

    Umeuliza jambo zito na lenye uzito wa kiroho, kisaikolojia, na kisiasa. Hebu tuchambue kwa kina: KUMBADILISHA MTU ALIYEAMINI ALICHOKIAMINI NI SAHIHI ITAKUCHUKUA MIAKA MINGI AU NGUVU YA MUNGU TO CHANGE A PERSON WHO STRONGLY BELIEVES THEY ARE RIGHT MAY TAKE YEARS OR DIVINE INTERVENTION...
  3. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu Mkuu Mnyika nashauri CHADEMA iingie kwenye uchaguzi mkuu hata kama hamna Reform kwa mujibu wa Katiba ya nchi

    SIO TUNDULISSU WALA SIO CHADEMA KUTAKA MABADILIKO BALI NGUVU YA MDA, NYAKATI PAMOJA KARMA IKO KAZINI MWAKA HUU.HATA MTU MWINGINE MWENYE AKILI TIMAMU MPENDA HAKI MDA UNGEMCHAGUA MWAKA HUU KUWA MSEMAJI WAKE KUHUSU MABADILIKO KATIKA TAIFA HILI KUHUSU KUPATIKANA TUME HURU YA UCHAGUZI KUMBUKA...
  4. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Ndoto zina maana yoyote?

    MAANA YA KUOTA RAFIKI ALIYEFARIKI THE MEANING OF DREAMING ABOUT A DECEASED FRIEND 1. KUMBUKUMBU NA HISIA ZILIZOBAKI MEMORIES AND LINGERING EMOTIONS Akili yako inaweza kuwa inashughulika na kumbukumbu za urafiki wenu. Ikiwa ulikuwa na uhusiano wa karibu, ndoto zinaweza kuwa sehemu ya...
  5. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Ndoto zina maana yoyote?

    Ky
  6. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Yesu mara 2

    NI KWELI TUJAANDAE YESU AMEKARIBIA KURUDI
  7. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Usipande boda usiemjua usiku mwezenu yamenikuta

    IMEKUAJE NDUGU UKANYWA POMBE SIKU YA KUKUMBUKA KUZALIWA KWA YESU ?
  8. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula: Kurekebisha Sheria ya Uchaguzi bila Kubadilisha Ibara kadhaa za Katiba ya JMT itakuwa ni Kazi bure!

    Wewe unapataje nafasi ya kumfuatilia askofu bila kwenda kusikiliza neno la kiroho kwa askofu?
  9. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

    MUENENEE HURUMA BASI
  10. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Mwakipesile: Namuunga mkono Tundu Lissu kwenda Ngorongoro kuongea na Wamasai lakini ananikeraga anapomsema vibaya Hayati Magufuli!

    HUENDA KWELI TUNDU LISU ANAMAPUNGUFU YAKE KAMA MWANADAMU ILA NI VEMA MTU KABLA MTU HAJAMKOSOA TL ANATUMIA NINI KATIKA KUFIKIRI UKIANGALIA MAMBO YANAYOHARIBIKA
  11. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

    HATA HIVYO AMEJITAHIDI KUZUIA HISIA ZAKE, KUNA JAMBO ANAHITAJI MLANGO WA KUTOKEA.
  12. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Naomba Hotuba ya Rais Samia isomwe Makanisani na misikitini kwa mwaka mzima

    Huenda ni sawa au sio sawa kulingana utofauti wa kimtazamo ila nahitaji kujua umuhimu wa kuweka namba yako ya simu
  13. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Balozi Dkt. Slaa: Hata mimi nimetishiwa, na hata Ubalozi wakitaka wauchukue

    HUENDA RAISI HANA SHIDA KITI CHA URAIS NDIO INA SHIDA INAHITAJI MAOMBI . KWAMBA KILA ATAKAYEKIKALIA KINABADILI MAWAZO
  14. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania VIDEOS: Kazi imeanza. Makombora ya Storm Shadow yasambaratisha makao makuu ya Jeshi la Urusi katika jimbo la Luhansk

    Japo wengi wetu tumeshindwa kujizuia kuishabikia hii vita ila tunayaishi matokeo yake
  15. Israeli Zephania

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kwanini watu wanaota ndoto na watu mara ya kwanza walijuaje ni ndoto?

    Ahsante kwa kuniombea msamaha
Back
Top Bottom