jun255;14820182]Hivi we sio mke wangu kweli? Maana hata sisi tuna mwaka na miezi saba na pia una ujauzito! Mungu nisaidie
Itakua ni wako jamaa. Kama ka kwambia anamimba basi ujue ni Wewe
Tanzania Njema Yaja;Chadema/ukawa milele.... bila nyie ccm wangetupa raisi kibogoyo... ni suala la muda tu mtakamata nchi... watz wako tayari kwa mabadiliko....
Kamanda tupo pamoja pande kwetu Tunduma tunawatakia Kila lilojema Liwe juu yenu wana wa arusha
[QUOTE=Abigail30yrs!;Wewe ushazeeka tayari.Uliibania mno;Halafu hiyo ya kubagua dini ndio kabisaaa ishakukosesha Mme coz mwanamke hana dini ni wa wote.
Huyu hataki kuolewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.