Anataka kutuamisha kuwa gharama za kusomesha ngazi za msingi, sekondari na elimu ya chuo kikuu zinalingana! Hizo ni kauli za kuendelea kukatisha tamaa watoto wa wasaka tonge
Kwani tambo zake zikiisha wewe utakua umefaidi nini? Kumbuka hata ukitembea na mumewe yeye atabaki kuwa mkewe na wewe utakua umejidhalilisha, tafuta Mume wa kwako nawe ulinge nae Dada.
Mm hapo sasa inabidi ufuatilie kabla hawajatoa awamu ya pili labda kulikuwa na shida mahali, kwani ulikuwa unabadilishana? Wacha tusubiri nasisi ambao mikoa yetu haijatoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.