Recent content by Ismail Mwinyi

  1. Ismail Mwinyi

    Ester Bulaya amshinda Stephen Wassira kwenye Rufaa kesi ya Ubunge

    Hongera Sent from my T1 using JamiiForums mobile app
  2. Ismail Mwinyi

    Wasamaria tulifanya makosa kuchangia wahanga wa tetemeko Kagera?

    Huu ni mtihani mkubwa sasa itatufanya na sisi tulio na nia ya kuchangia tuache Sent from my T1 using JamiiForums mobile app
  3. Ismail Mwinyi

    Kiukweli wasichana wazuri ni wabovu sana kitandani

    Hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro
  4. Ismail Mwinyi

    Kusema kweli mwanamke ambae hana makalio apite mbali

    Inaonekana unapenda kutumia 071
  5. Ismail Mwinyi

    Wanaume ambao hawatumii pombe

    Kila mmoja na tabia yake kuna wanaokunywa pombe na walevi wa wanawake na kuna waopenda wanawake na wakawa hawalewi na kuna ambao hawapendi hata kuwa na wanawake na pia hawalewi
  6. Ismail Mwinyi

    Makamu wa Rais amuwakilisha Rais Addis Ababa, Ethiopia!

    Hapa kazi tu ushatobarooo baadae
  7. Ismail Mwinyi

    Makamu wa Rais amuwakilisha Rais Addis Ababa, Ethiopia!

    Inaonekana mzee wetu sasa kaamua kufanya kazi kwa nguvu zote katika kuliletea taifa maendeleo
  8. Ismail Mwinyi

    JWTZ Yatoa ufafanuzi juu ya Mavazi ya Kijeshi aliyovaa Rais huko Arusha

    Rais Magufuli kuvaa mavazi yale upo sahihi kwani yeye ni Amiri jeshi mkuu kustaafu kwake mpaka amalize utumishi wake wa urais
  9. Ismail Mwinyi

    Nasema siwezi kuacha kuchepuka

    Mwambie mkeo hayo maamuzi yako akikubali wewe undelea kuchipuka hata ukiupata ukimwi iwe na mkeo amechangia sio tuchangie sisi.
  10. Ismail Mwinyi

    Maalimu Seif keshaingizwa Kingi, CUF kusambaratika

    Mm sishangai kwa maalim seif kusema amekubali kurudiwa kwa uchaguzi kwani nakumbuka miaka iliyopita wakati AMAN ABEID karume rais alosema hamtambui lakini akaja aliposema mwaka 2009 kwamba anamfahamu kuwa ni rais nilistaajab sana leo kuja kusema amekubali uchaguzi urusiwe sio jambo la kustaajabu...
  11. Ismail Mwinyi

    Naomba ushauri mke wangu ananisema kwenye What's App

    Futa mtandao huo wa whatas katika simu
  12. Ismail Mwinyi

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Funga ndoa nae akikwambia muda bado achana nae huyo anakupotezea tu wakati, mfano ukimpa penzi halafu akikuacha utafanya nini? Usiangalie karibu angalia mbele kitakachotokea mm nahisi ukimpa penzi ikiwa hakuridhika atakuacha je umejipangaje kwa hilo
  13. Ismail Mwinyi

    Mlinzi wa Lowassa, Aloyce Tendewa atimuliwa kazi...

    Idara ya usalama ulikuwa unataka taarifa ama ripoti za Lowassa?
  14. Ismail Mwinyi

    Magufuli hakupunguza ukubwa wa Serikali, ameongeza

    Chama cha mapinduzi ccm zanzibar kipo tayari kwa marudio ya uchaguzi wa Zanzibar
Back
Top Bottom