Zitto watu wenye akili timamu kama mimi ndio tunakuelewa,unaeleweka sana,una hoja nzito sana.
Hawa jamaa wa 'tatu toa sita haiwezekani,unakopa mbili unakwenda nazo kichwani' tuliisha wasamehe.
Mi navyojua magufuli haendi kugombea nafasi ya uenyekiti wa CCM bali anakwenda kukabidhiwa kijiti ili aendeleze.
Sasa napata shida kuelewa mtu ambae anakwenda "kukabidhiwa" anawezaje kukwamishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.