Usidanganye watu haini mkubwa wewe, CCM haishindi hapa....Dodoma ndy makao makuu ya nchi, kuna binge la tz hapa ila ndy mkoa unaoongoza kuwa na ombaomba wengi.!!CCM out mwaka huu
Tayari nimeshachinja. Lowassa ndiyo Rais, Msigwa ndiyo Mbunge, Oscar Kafuka ndiyo diwani. Kutoka Makanyagio hapa.Doria inaendekea nipo kwenye defender ya usalama. Ole wake nimuone mwama CCM anafanya kampeni au anagawa pesa. Hata sisi maisha ni magumu.
Kutoka Chato,
MAGUFULI aenda pekee yake kupiga kura bila mke wake wa mtoto. Hali sio nzuri hapo Chato...watu wanamzungumzia mgombea huyu wa URAIS kupitia CCM kuwa ni mtu mwenye unyanyasaji wa kijinsia. Hali ni mbaya kwa wanawake wengi hapa Chato wanazungumzia vibaya sana MAGUFULI pia hata...
Kutoka Chato,
MAGUFULI aenda pekee yake kupiga kura bila mke wake wa mtoto. Hali sio nzuri hapo Chato...watu wanamzungumzia mgombea huyu wa URAIS kupitia CCM kuwa ni mtu mwenye unyanyasaji wa kijinsia. Hali ni mbaya kwa wanawake wengi hapa Chato wanazungumzia vibaya sana MAGUFULI pia hata...
Jamani huyu mtu hafai kuwa Dr. Naomva taasisi iliyompa PhD imunyang'anye Mara moja.Kuhusu Richmond, mwaka 2008 aliongea tofauti kuhusu uhusika Wa EL na sahihi anaropoka tofauti!!!, ni sawa na kile alichokiandika kwenye kitabu cha pepo ya Mabwege, sahivi anapingana na maandishi yake mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.