Habari! Mada km iyo imewah kuwasilishwa na mdau mmoja na nilipata nafasi ya kuchangia kwa nnachokijua juu maambukizi ya VVU. Nmeona post ako ikabidi ni attach kile nilicho comment kwa uyo mdau nafkr ukipitia utapata chochote na comment angu kwa mdau uyo ilikua km ifuatavyo:
"Pole mkuu kwa hofu...
Pole mkuu kwa hofu uliyonayo mpaka sasa. Kufanya mapenzi na +ve partner c lazma kupata maambukizi. Unaweza fanya ngono zembe km ilvyokutokea na uyo +ve partner lakini usipate maambukizi japo ni hatari. Inaonekana ni miezi mitatu since then naumecheki huna, iyo inawezekana kabisa kwani kuna watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.