Wadau habari za jukwaniii kwa yanayondelea tuhuma mzito za Balazi Polepole na Dkt. Slaa ndugu yetu Msigwa msemaji wa serekali kajichimbia wapi au anasubiri wanafunzi wa vyuo awachimbe biti wakipost No Reform No Election?
Habari wadau kuna clip ya jamaa alikuwa kwenye kikao tume ya mipango amemwaga nondo, Kitila Mkumbo anabaki akitikisa kichwa. Tunakwama wapi kuwatumia hawa?
Kama hujui kaaa kimya miradi ililetewa dummy cash kwenye mfumo , Hadi Leo from September hajalipika Hali ni Tete supplies wanahaha wenye mikopo benki watakuwa na Hali ngumu sana
Kwanza hili litakuwa kichaka Cha wezi kuingia majumbani kwa watu mchana wakijifanya maafisa wa sensaa na kuiba bila wasichana wa kazi kujua malengo yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.