Nothing new there! hyo rank kila siku nd hyohyo!...hahahaha af we are very tired na thread ka hiyo! Mda si mrefu zogo linaanza humu....wap ifm mpooooooooooo
Hahahaha......acha umbwesenge ww! acha kudis chuo cha wenzio kihivyo...though nasoma ud but naona kawaida tu....mm nimepiga field na wanafunz wa udom...guys they know wat they are doing....wako competent kuliko au sawasawa na sisi wa ud...mnawakashfu bure af watanzania ndo zenu full mawivu...
dunia imeisha...wew kama umeamua kumfata mungu mfate kwa moyo! na kama ukiona una hisia bas kuwa just a normal girl jiachie tu but usimshirikishe mungu na anasa za kidunia...ww sista nakwambia hvyo kama unatabia ka hizi! shame u
na akusamehe kwel! ila kumbuka huyo ni sister...na kama majaribu ya kidunia ww ndo umemuifluence na yy kutaka kufanya hvyo! broo hcho unachokifanya sicho...hv huogopi maradhi kingine try 2 respect your girl af jiheshimu ni utoto huo
Na huwa wanatumia logic gn kupata g.p.a ambayo ndo inainclude kam ni 1st class etc. coz matokeo ya 1st wanakuandikia g.p.a yko uliyoipata then 2nd year hvyohvyo mpk 3rd year.....hii inakuwaje
Na kama ukiwa na g.p.a ndogo lk 2 hv...je unaweza ukaipandisha mpk 3 hv, kama ukikaza msuli lkn?? je inawezekana kuipandisha kutoka g.p.a ndogo mpk kubwa
meona eeh! Af humu kuna baadhi ya wachangia mada wanajifanya wana g.p.a ya 5! jma let talk the true chuon n kugum na hizo g.p.a mpk upate kubwa u should struggle san tena zaid ya san
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.