Recent content by isconee

  1. isconee

    Haya matikiti-maji ya sasa, utamu wake sio wa kawaida!

    hzo ni mbegu mpya(varieties) znazaliashwa na kuboreshwa kulenga soko la wahitaj
  2. isconee

    Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

    Dah pand fulan hivi za bihawana seminary nimemiss sana mvinyo coz kuna kiwanda cha kutengeza mvinyo na maisha mengne kwe ujumla St. Augustine Seminary, Father Mwaja, Father Ndaona, na Father Kilolelo oyeeee.
  3. isconee

    Wale wa Sua tufahamiane humu

    nitakuwepo pande hizo nimepangwa Bsc. in agronomy alaf 2peane hzo dondo kwa nyie mliotutangulia
  4. isconee

    uc browser msaada plsss

    natumia samsung GT-c3312 kila nikidowload uc browser inakubali ila nikiifungua ili nianze kuitumia inaandika error nifanyaje ili niweze kuitumia hii browser naikubali sana?
  5. isconee

    join instruction

    jamani join instruction ya SUA inapatikana vipi? msaada kwa anayejua
  6. isconee

    Matatizo ya ngozi

    dah pole sana inewezekana ndo ulivyoumbwa kazi ya Mungu hyo
  7. isconee

    Ex-4m6's tuache nyodo safari ndio kwanza inaanza

    mafanikio hayaji kwa uzuri wa chuo tu na juhudi binafsi zinahusika kwahiyo waache hizo time will tell
  8. isconee

    Ushauri kozi ya Agronomy

    jamani asanteni kwa ushauri wenu nimejua baadhi ya mambo ambayo ckuyajua ntazingatia ushauri mlionipa
  9. isconee

    Ushauri kozi ya Agronomy

    jamani naomba msaada kwa yoyote anayejua chochote kuhusu faculty inayoitwa agronomy?
Back
Top Bottom