Ndio lakini ameshindwa kujiendeleza kielimu ya sheria na pia hataki kusoma katiba ya JMT kujua mamlaka ya kila muhimili wa nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Napata kigugumizi kuzungumza kwa sababu ni kweli ni haki kikatiba kiongozi wa kisiasa kuondoka chama a na kwenda chama b. Ukakasi unakuja pale kiongozi yule yule anapoteuliwa kugombea nafasi ile ile aliyoiacha kule alipotoka :-)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.