Recent content by Isanga family

  1. Isanga family

    Ruvuma: Raia wa kigeni akutwa na mashine bandia 60 za dubu

    Hizo mashine zisiruhusiwe hakuna bandia wala Og ni wizi tu..
  2. Isanga family

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Alikua na Subaru ya miaka ya karibuni Tanzania zipo chache sana.
  3. Isanga family

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Subaru ni gari mazee sema wazee tunaona vijana wanaongea tu niliwahi kuwa na Ford ya 2024 naitafuta Daslm kutokea Tunduma nilipofika Iringa nikakutana na bwana mdogo mmoja ana Subaru moja matata sana ahaa kila nikitoa mguu yupo mpaka daslm wakati hiyo mashine gari nyingi zitasoma namba ilikua...
  4. Isanga family

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Kama hela za vijana wanakopeshana wazee harafu walengwa wanabaki mikono mitupu unategemea nini kuhusu huo mradi..
  5. Isanga family

    Toyota Land cruiser LC 300 recall

    Kama ipo nje ya SA hiyo inatakiwa irudi na nyingi zimekuja Tanzania pia.
  6. Isanga family

    Makonda anamlenga nani kuelekea 2030?

    Viongozi hawazungumzii maendeleo hata uchaguzi wakifanya leo wataongelea uchaguzi ujao na si maendeleo ya Wananchi wao..
  7. Isanga family

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Aliefungua kesi akamatwa na polisi na kuhojiwa hapo kazi ipo aisee... Wanatumia nguvu zote ili mradi wafanye wanalolitaka wao..
  8. Isanga family

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Hii hapa ni yard ya magari hapo four ways Johannesburg pana gari za kutosha ukiwa na hela utatoka na gari yeyote nzuri tu hapo sio kwa haya tuliyoyameza..
  9. Isanga family

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Shida mnanunua magari kwa sababu umeyaona Serikali inayatumia ila ungekua na chaguo la kuona magari tofauti mengi usingeandika ulichoandika hapa...
  10. Isanga family

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Mkuu pana vitu unachanganya nimesema Torque ndio inahusika na gari kuchanganya na si horsepower Scania G 460 ina horsepower 333 ila ina nguvu ya kuvuta mzigo mkubwa kuliko LC 300 yenye horsepower 409...hapo utakuta Scania Torque yake inasoma zaidi ya 1000 wakati LC imepunguzwa na unapoona Torque...
  11. Isanga family

    Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

    Nduli katega tatu zake sare utaiona wapi..
  12. Isanga family

    Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

    Nipo Chuga mazee karibu tupate nyama choma SA ni chimbo la kubebea auto parts na trucks... Scania G 460, P Series na ndugu zake...
  13. Isanga family

    Toyota Land cruiser LC 300 recall

    Tangazo linahusu gari za Jan 2025 mpaka Jan 2026 ni mwaka hapo nishawahi kununua Toyota mwaka juzi jamaa alinunua gari jipya akarudisha Toyota akapewa mpya akaongeza mkopo kwa hiyo lile lililokuwa na 2000km lilinunuliwa kama used jamaa ana hoja na hayo magari yapo mengi SA.
  14. Isanga family

    Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

    Kwa hiyo upo busy na kulinda kiswahili mkuu huku Bandari,madini wasizwa wakigawana bure.. Tuliambiwa DP world wakichukua wataboresha bandari ila wameongeza kodi itaanza July mazee upo busy kukosoa silaha na unataka nirudi daslm ili wote tuendelee kusaga kunde..
  15. Isanga family

    Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

    Sasa kwa nini wanatupakia rangi kwa vitu wanavyofanya kila siku..inawezekana vip hao jamaa kuwa na siraha za moto wafoji umiliki kwa matumizi gani kama sio kuua na kukaba watu.. Hao washitakiwe kwa Ujambazi wa kutumia siraha tu.
Back
Top Bottom