Recent content by Isanga family

  1. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Martin Maranja amwandikia Freeman Mbowe: Najutia kumpa mtoto wangu jina lako, Freeman

    Yaani unakaa kabisa unampa mtoto jina la huyo mzala..
  2. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Matches 3 kadi 3 Nyekundu kwa Simba

    TFF wamejitahidi sana kuweka hiyo Video ya kumsaidia refa maana nilikua napinga sana kuwafungia marefa huku wao wanaangalia Azam kwa nini wasiweke Azam basi uwanjani kweli wamefanya hivyo..
  3. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Mrembo Rushayna ashindwa kujieleza kwa kingereza katika tukio la Kimataifa la Mashariki creative Expo 2026

    Ras Simba yupo vizuri sana alianza utani utani tu nimeshangaa mpaka mikoani yupo bhana.
  4. Isanga family

    JamiiForums Tanzania FT: NBC Premier League: Singida Black Stars 1-2 Simba Sports Club | 12:00 Jioni

    Simba wanajitafuta balaa mpira mgumu sana..
  5. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Katika biashara mbaya zaidi duniani ni ya madawa ya kulevya. Haitaki utani kabisa

    Vietnam wana bidhaa bora sana vitu vyao vingi mimi nilikua nanunua Hong Kong ndio wamejaza pale na si vya kutoka China ndio nikasanuka ngoja nifate mwenyewe huko huko nilikutana na vitu vingi sana kwa wakati ule wale jamaa wanakupa sample box hata 20 mpaka 30 uje kuangalia biashara kama...
  6. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Mrembo Rushayna ashindwa kujieleza kwa kingereza katika tukio la Kimataifa la Mashariki creative Expo 2026

    Upo sahihi kwa kazi yake ilitakiwa aanze kujifunza hata moja ya lugha za kimataifa ili imsaidie kwenye kazi zake sema kwa mazingira yetu nadhani mkuu unayajua vizuri hasa kwa hawa ambao wana vipaji vya urembo harafu shule kidogo inakua changamoto..
  7. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Mrembo Rushayna ashindwa kujieleza kwa kingereza katika tukio la Kimataifa la Mashariki creative Expo 2026

    Kutokujua Kiingereza sio kesi kwangu maana hapo home sio chaguo letu hiyo ni lugha ya malkia ningeshangaa kusikia kiswahili kinamsumbua..
  8. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Kutoka AI: Freeman Mbowe ulichokifanya leo hakiakisi utu, mshikamano wala hekima

    Huyo sio per diem tu ana malipo mengi tu huyo mazee..
  9. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Kutoka AI: Freeman Mbowe ulichokifanya leo hakiakisi utu, mshikamano wala hekima

    Ndio maana mimi naendelea kushangaa huyu ni binadamu wa aina gani..
  10. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Kutoka AI: Freeman Mbowe ulichokifanya leo hakiakisi utu, mshikamano wala hekima

    Unaweza ukakutana na Simba wa mikumi akakupita ila huyu Mzee akakuua...
  11. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Kutoka AI: Freeman Mbowe ulichokifanya leo hakiakisi utu, mshikamano wala hekima

    Nadhani utakua umesahau haraka sana Mbowe kila akifanyiwa kitu anatoa taarifa mpaka walivyokata mboga mboga na maua akaenda kulilia kwenye chama leo hii mwenzie yupo ndani kama alivyopita yeye harafu yupo anakunywa nao divai huyo sio mtu kabisa..
  12. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Kutoka AI: Freeman Mbowe ulichokifanya leo hakiakisi utu, mshikamano wala hekima

    Huyo hawezi kujali kitu watu wamempambania alivyokua jela Sara zote watu wameenda nazo leo hii yupo na watesi wetu tena huyu ana balaa sana aisee sio mtu kabisa.
  13. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Mmemuona Freeman Mbowe kwenye ‘suti sare’ na Mawaziri wa CCM?

    Daah jamaa ni Yuda Escariot mtupu..
  14. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Ni uzuni Hull City waitandika Manchester United 2-0

    Wacha wapigwe washabiki wake walianza kunenepa tu mtaani ngoja ligi irudishe miili yao halisi..
  15. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Katika biashara mbaya zaidi duniani ni ya madawa ya kulevya. Haitaki utani kabisa

    Na kujiamini lugha sio tatizo mtu anaweza kujifunza taratibu watu wakishikwa mkono Singapore ni Singapore tu hata kama hiyo bidhaa anaweza kupata sehemu ingine kwa gharama ndogo.
Back
Top Bottom