Subaru ni gari mazee sema wazee tunaona vijana wanaongea tu niliwahi kuwa na Ford ya 2024 naitafuta Daslm kutokea Tunduma nilipofika Iringa nikakutana na bwana mdogo mmoja ana Subaru moja matata sana ahaa kila nikitoa mguu yupo mpaka daslm wakati hiyo mashine gari nyingi zitasoma namba ilikua...
Hii hapa ni yard ya magari hapo four ways Johannesburg pana gari za kutosha ukiwa na hela utatoka na gari yeyote nzuri tu hapo sio kwa haya tuliyoyameza..
Mkuu pana vitu unachanganya nimesema Torque ndio inahusika na gari kuchanganya na si horsepower Scania G 460 ina horsepower 333 ila ina nguvu ya kuvuta mzigo mkubwa kuliko LC 300 yenye horsepower 409...hapo utakuta Scania Torque yake inasoma zaidi ya 1000 wakati LC imepunguzwa na unapoona Torque...
Tangazo linahusu gari za Jan 2025 mpaka Jan 2026 ni mwaka hapo nishawahi kununua Toyota mwaka juzi jamaa alinunua gari jipya akarudisha Toyota akapewa mpya akaongeza mkopo kwa hiyo lile lililokuwa na 2000km lilinunuliwa kama used jamaa ana hoja na hayo magari yapo mengi SA.
Kwa hiyo upo busy na kulinda kiswahili mkuu huku Bandari,madini wasizwa wakigawana bure..
Tuliambiwa DP world wakichukua wataboresha bandari ila wameongeza kodi itaanza July mazee upo busy kukosoa silaha na unataka nirudi daslm ili wote tuendelee kusaga kunde..
Sasa kwa nini wanatupakia rangi kwa vitu wanavyofanya kila siku..inawezekana vip hao jamaa kuwa na siraha za moto wafoji umiliki kwa matumizi gani kama sio kuua na kukaba watu..
Hao washitakiwe kwa Ujambazi wa kutumia siraha tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.