TFF wamejitahidi sana kuweka hiyo Video ya kumsaidia refa maana nilikua napinga sana kuwafungia marefa huku wao wanaangalia Azam kwa nini wasiweke Azam basi uwanjani kweli wamefanya hivyo..
Vietnam wana bidhaa bora sana vitu vyao vingi mimi nilikua nanunua Hong Kong ndio wamejaza pale na si vya kutoka China ndio nikasanuka ngoja nifate mwenyewe huko huko nilikutana na vitu vingi sana kwa wakati ule wale jamaa wanakupa sample box hata 20 mpaka 30 uje kuangalia biashara kama...
Upo sahihi kwa kazi yake ilitakiwa aanze kujifunza hata moja ya lugha za kimataifa ili imsaidie kwenye kazi zake sema kwa mazingira yetu nadhani mkuu unayajua vizuri hasa kwa hawa ambao wana vipaji vya urembo harafu shule kidogo inakua changamoto..
Nadhani utakua umesahau haraka sana Mbowe kila akifanyiwa kitu anatoa taarifa mpaka walivyokata mboga mboga na maua akaenda kulilia kwenye chama leo hii mwenzie yupo ndani kama alivyopita yeye harafu yupo anakunywa nao divai huyo sio mtu kabisa..
Huyo hawezi kujali kitu watu wamempambania alivyokua jela Sara zote watu wameenda nazo leo hii yupo na watesi wetu tena huyu ana balaa sana aisee sio mtu kabisa.
Na kujiamini lugha sio tatizo mtu anaweza kujifunza taratibu watu wakishikwa mkono Singapore ni Singapore tu hata kama hiyo bidhaa anaweza kupata sehemu ingine kwa gharama ndogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.