Recent content by Isanga family

  1. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa Dangote wafika dola bilioni 50

    Wabongo hatuchelewi kusema kuwa Dangote ana hela ya kubadilisha mboga tu huku mwandishi kajicha mvua kwenye bajaji.
  2. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Leo 16 September Mahakama inaendelea kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri

    Unajua baadhi ya viongozi wakubwa kuhojiwa kiwango chao cha Elimu mbele ya mbao ni aibu sana sema ni vile uwezo wa watu kufikiri umepungua sana.
  3. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Nani anaamini hawa wote wako nje ya nchi? 😂

    Wangeifuta tu hiyo kesi hao hakuna anaeweza kukaa na kuulizwa maswali na Lisu harafu isiwe kicheko kwa Wananchi..
  4. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Leo 16 September Mahakama inaendelea kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri

    Mnafungua kesi ili kuwaaibisha viongozi wenu hiyo kesi mngekua na akili sawa sawa mngeifuta tu sema kenge mpaka damu itoke masikioni ndio anajua hatari.
  5. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Naomba radhi wote niliowakwaza

    Unatukana matusi makubwa harafu unakuja kuomba msamaha kirahisi tu endelea kutukana Mkuu karma ya kila baya lipo hapa hapa Duniani... Mimi sio mnafiki sikusamehe 90 mara 1000 inatakiwa ujue zipo ngoma ngumu zenyewe hazitukani ila pia kusamehe ni sahau..
  6. Isanga family

    JamiiForums Tanzania By any stretch of imagination, hakuna cross examination ambayo mpaka sasa imefanikiwa to implicate Lisu with treason accusations facing him!

    Kila mtu anajua waliohusika kwenye mauaji ni nani harafu wanataka kutumia muda mwingi kujidanganya wenyewe wakati Wananchi na Dunia inajua nani ndio wauaji.
  7. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati kutofautiana mitazamo ni jambo la kawaida. Siyo kukosa mwelekeo

    Upo sahihi Mkuu Mwanaharakati mmoja alitoafutiana na sera ya Mandela wa ANC kuhusu umiliki wa Ardhi SA baada ya Ubaguzi wa rangi kuisha kisheria akiwa na chama chake wao walitaka wawe huru pamoja na ardhi yao baadae akauawa mwaka 1993 huko Borgsburg hata kabla ya uchaguzi kufanyika.
  8. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kijo-Bisimba: Ule Haukuwa Uchaguzi, siku tumeruhusiwa kutoka tulikuta maboksi ya uchaguzi mitaani sijui yalikuwa na kura au la!

    Huyu Mama enzi akiwa kazini alikua kanyooka sana mpaka walitaka kuifuta hiyo taasisi walikua hawataki kuambiwa ukweli...
  9. Isanga family

    JamiiForums Tanzania HESABU kitu cha ajabu

    Wapi Mozambique huko nini nimecheka sana..
  10. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Mello aendelee kupewa maua yake kwa privacy zetu ,wengine si wa kuamini, Roma katofautiana kidogo mawazo na mange kamtisha kumreport wam deport,

    Aliwahi kwenda jela kisa kukataa kutoa taarifa za jamaa mmoja alizungumza mambo ya bandari na TRA akagoma kabisa mpaka akakaa ndani..
  11. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Watakaogeuka Kuwa Maadui Wakubwa wa Mbowe na CHADEMA, ni Wanachama na Wapenzi wa CHADEMA wa Sasa

    Bams ni kichwa sana big up mkuu..
  12. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Kajala: Natamani muda urudi nyuma nianze upya nilipokosea, ila nashukuru napumua

    Apambane tu atapata za kwake aache kuwaza mali za wengine kuwa zitamsaidia na yeye..
  13. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

    Walijibu au walikaa kimya kama baadhi ya wadau wanavyotaka App ya zamani irudi..
  14. Isanga family

    JamiiForums Tanzania Ndo maana nimepanga kuoa foreigner

    Daah aliomba Uplatinum wakamnyima..
Back
Top Bottom