Recent content by Isanga family

  1. Isanga family

    Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

    Ukiishi mipakani utajifunza kitu ipo hivi kama sasa hivi Zambia wana ukame mahindi yatatoka huku kwenda Zambia na kipindi mahindi yakiwa hapa bei kubwa mahindi yatatoka Zambia na kuja kuuzwa kwenye mikoa ya mipakani huu ni mzunguko wa kawaida tu..
  2. Isanga family

    Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

    Daah unaambiwa peleka Arusha au Nairobi unazungumzia Dodoma hautaki hela wewe au hauna njaa ya hela Mkuu..mwenye njaa ya pesa akiambiwa kazi vifungo vya shati anafungia kwenye Bus vizuri la Mbeya vizuri na ukifanya uje na mrejesho hapa..
  3. Isanga family

    Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

    Hautasumbuka hapo Uyole, Mbeya wapo pia wasafirishaji wa Fusso ila uweke alama vizuri za mzigo wako na Mafiati hapo unachukua tani moja ambayo ni 1000 Kg kule wanauza kwa debe utapima utajua ununue kiasi gani Karanga Nyekundu kwa kaskazini ni kama madawa yao ya kulevya hata bei tofauti ni kubwa...
  4. Isanga family

    Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

    Usifanye biashara haramu mpakani TRA wakikukamata utadhani umerogwa kumbe wewe mwenyewe ulikua na tamaa na ulikua hauna code zao ukiwa na hela kidogo lipa vitu vyote vya Serikali hela utapata kidogo kidogo kuliko ukikutana na TRA harafu hela yenyewe ndio hiyo hiyo wahuni wanaichukua...
  5. Isanga family

    Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

    Jinsi ya kusafirisha Karanga kutoka Mkoa wa Mbeya tumia posta wao tani moja ni Tsh 70,000 mpaka Dodoma kutoka pale kwenda Arusha ni pua na mdomo magari mengi mwanzo ilikua mpaka Arusha ni bei hiyo hiyo ila wamefuta safari ya kupeleka mizigo Mbeya mpaka Arusha...hiyo kazi ukiifanya kwa muda mrefu...
  6. Isanga family

    Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

    Nenda Isongole ipo ileje pale wanauza mazao mengi kutoka Malawi na hasa mnada wao upo Ijumaa kama ntakua sijasahau unaweza kuchukua Karanga pale na kwenda kuuza mpakani na Kenya wowote watanunua ukiweza unapeleka Nairobi na pia hapo Isongole nyuma kidogo panaitwa Ikumbilo nadhani pana Njia ya...
  7. Isanga family

    Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

    Shocks za Subaru ya 2012 nilinunua SA za mteja kutoka Subaru mpya ilikua 2.8m za kitanzania zote nne...wakati gari zingine napata Nuggets pale hata kwa Tsh 500,000 zote mpya hizo au Bumper to bumper..baadhi ya Subaru parts zake zipo juu kushinda Mercedes benz si bora nikae kwenye Benz tu..
  8. Isanga family

    Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

    Wabongo waongo sana mimi nilikua na disco 3 mwaka 2012 ilikua ya 2005 maisha yalienda mpaka niliiuza ukiwasikiliza wabongo hautafanya kitu unakuta mtu kanunua gari imempita umri wa kutengenezwa harafu anataka matatizo ya hiyo gari yawe ya Jumla wakati sio kweli..Disco 4 ina tatizo gani kama...
  9. Isanga family

    Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

    Hizi LR 110 za toka 1998 mpaka 2002 bado zipo sokoni mnataka kutumia Cat mashine sasa nazo pia hydronic pump ikisumbua ina mtihani kwenye bei kuhusu gari ni kwamba kutokana na kodi kuwa kubwa Watanzania wengi tunanunua gari ishakua chakavu ukiikuta na uchakavu wake kila muda inashinda gereji...
  10. Isanga family

    Pongezi kwa Idara ya kupambana na dawa za kulevya

    Ushimen ni classmate wako huyo huyo mpigie tu simu...
  11. Isanga family

    Kuna raia wa nje anataka kunitapeli

    Daah mkuu mbona unaingia ngoma mbovu sana ukiletewa zile ngoma ngumu si utauza hata nyumba ya urithi...
  12. Isanga family

    Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana

    Brother dogo kavaa vizuri tu uwe unarudi rudi Bongo bhana kama sisi wenzio wala atushangai kitu...Mzuka vip bhana mbona unaniangusha..
  13. Isanga family

    Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

    Bila hata kauli hii Karma italipa kwa kila wanachokifanya si unaona yule mwingine kila siku anashinda kwa Wachungaji na masheihk wamuombee ila hakuna kitu anapata kila mwezi anafata viongozi wa Dini anataka kutubia kimya kimya bila kusema alifanya nini...
  14. Isanga family

    TFF umakini uongezeke kukagua viwanja na vigezo vyote hadi nyakati za mvua

    Tff wanaangalia upepo tu hakuna kitu wanakagua...
  15. Isanga family

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Upumbavu kabisa kafanya huyu Mzee daah..
Back
Top Bottom