Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

Hawa mapolisi wanaopokea rushwa hadharani barabarani.

Polisi Hawa wanao bambikizia watu kesi Kisha kuomba rushwa Ili watoke ndani.

Hawa polisi wanaoajitiwa kwa sifa ya kuwa mrefu zaidi ya wengine na mwenye mbio badala ya akili.

Wanafanya doria mitandaoni. Yaani mzungu anagundua simu Kisha mjinga mmoja hapo central anafanya doria kuangalia wengine wanatumiaje simu zao.

Pumbavu polisi anashindwa kujua hata maana ya haki
Hutaki ufanyiwe doria umtukane bibi tu?
 
mafwele akistaafu upolisi lazima ale teuzi ya ukuu wa mkoa kwenye mikoa ya pembezoni
Au ziraeli amwache na akumbane mwenyewe na Dunia. Huyu bwana na Bashite wamekuwa wakitajwa sana katika matukio mabaya na wao wanachekelea kama vile Mungu ni binamu yao au mjomba! Watakijua kilio cha uchungu kikoje
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Au ziraeli amwache na akumbane mwenyewe na Dunia. Huyu bwana na Bashite wamekuwa wakitajwa sana katika matukio mabaya na wao wanachekelea kama vile Mungu ni binamu yao au mjomba! Watakijua kilio cha uchungu kikoje
mambo yakienda mrama , lazima watakua na makazi nje hawa wazee wa kazi ngumu
 
Hawa mapolisi wanaopokea rushwa hadharani barabarani.

Polisi Hawa wanao bambikizia watu kesi Kisha kuomba rushwa Ili watoke ndani.

Hawa polisi wanaoajitiwa kwa sifa ya kuwa mrefu zaidi ya wengine na mwenye mbio badala ya akili.

Wanafanya doria mitandaoni. Yaani mzungu anagundua simu Kisha mjinga mmoja hapo central anafanya doria kuangalia wengine wanatumiaje simu zao.

Pumbavu polisi anashindwa kujua hata maana ya haki
😀
 
Maswali ni mengi.... ila linalonipa sonona ni hili la wajomba wamegushi vibali vya silaa kwa matumizi yapi?
Yaweza kuwa jamaa walikuwa wanataka kupindua meza

Kama mafwele anahusika ktk ushahidi ni wazi kuwa jamaa itakuwa walikuwa wanataka kufanya uhani hao sema inafichwa ili kuzuia taharuki
 
Wewe unavyomuona mafwele Anakosa gang la watu kama hao yule
Sasa kwa nini wanatupakia rangi kwa vitu wanavyofanya kila siku..inawezekana vip hao jamaa kuwa na siraha za moto wafoji umiliki kwa matumizi gani kama sio kuua na kukaba watu..
Hao washitakiwe kwa Ujambazi wa kutumia siraha tu.
 
Sasa kwa nini wanatupakia rangi kwa vitu wanavyofanya kila siku..inawezekana vip hao jamaa kuwa na siraha za moto wafoji umiliki kwa matumizi gani kama sio kuua na kukaba watu..
Hao washitakiwe kwa Ujambazi wa kutumia siraha tu.
Ni Silaha, siyo Siraha. Ondoka huko Sauzi kunaharibu Kiswahili na lafudhi yako
 
Ni Silaha, siyo Siraha. Ondoka huko Sauzi kunaharibu Kiswahili na lafudhi yako
Kwa hiyo upo busy na kulinda kiswahili mkuu huku Bandari,madini wasizwa wakigawana bure..
Tuliambiwa DP world wakichukua wataboresha bandari ila wameongeza kodi itaanza July mazee upo busy kukosoa silaha na unataka nirudi daslm ili wote tuendelee kusaga kunde..
 
Kwa hiyo upo busy na kulinda kiswahili mkuu huku Bandari,madini wasizwa wakigawana bure..
Tuliambiwa DP world wakichukua wataboresha bandari ila wameongeza kodi itaanza July mazee upo busy kukosoa silaha na unataka nirudi daslm ili wote tuendelee kusaga kunde..
Hapana endelea kuuza apples mitaani. Ila kuwa makini na Dudula
 
Undata ni kazi flani hivi ya kiwaki. Hapo kuna ujambazi na hao polisi hawapo peke yao. Kuna wakubwa wapo nyuma yao kwenye hiyo mikwaju.
 
Back
Top Bottom