Heh! Ama kweli hizi ni siasa. Mjini tumeficha Hummer na magari ya kifahari, kwa wananchi tunawadanganya sisi ni wajamaa tunatembelea treni. Mmh! mi yangu macho na hizi siasa za kisanii.
Hii picha mbona imechakachuliwa.... anayeongea na maiki anaonekana kuangalia mahali penye watu ambapo camera haikupachukua, ninachojua mimi huwezi ukawa unaongea na mtu aliye mbele yako halafu ukaconcentrate kuangalia pembeni. Hapo wanaCCM mmechemka. kajipangeni upya.
Huyo kwel mjanja, ni wasichana wachache wanaoweza kufanya hivyo kwa dunia ya leo. Ushauri wangu:Kama vp achana naye huyo hakufai, anahitaji wavumilivu wenzake. Naomba namba zake za simu tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.