Recent content by Isack Michael

  1. I

    Uzi maalumu kwa ajili ya kujifunza namna ya kutengeneza Android Apps

    Tupo pamoja sana tutakuwa tunashare tunachokifahamu Sent from my SM-G532G using JamiiForums mobile app
  2. I

    Einstein theories of relativity..Mambo magumu kuelezea

    labda umeshindwa kuelewa kwamba sisi tupo nje ya dunia na sayari ya dunia haipo ndani ya galaxy yoyote ile bali milk way galaxy ndo galaxy ambayo inaonekana kwa ukaribu katika sayari ya dunia na hiyo milk way galaxy ndo galaxy ambayo ina contain solar system yetu kwaiyo atuwezi kusema tupo ndani...
  3. I

    Einstein theories of relativity..Mambo magumu kuelezea

    Relativity theories hasa inaongelea maswala ya time travel kwenye space ni kwamba kunauwezekana wakusafiri au kufika mahali ambapo kwa speed ya vyombo vya kawaida kama rocket ni ngumu sana kufika huko kutokana na speed yake. Kwa mfano hii galaxy yetu ya milk way hipo karibu sana na dunia lakini...
  4. I

    Django vs Laravel, which one is the best framework?

    wewe ni language gani unacode kati ya hizo mbili?
  5. I

    Vijana jifunzeni programming you wont regret it

    App kama ipi ambazo unaweza jifunza programming language?
  6. I

    Vijana jifunzeni programming you wont regret it

    naombani msaada wenu nilikua na install buildozer kwaajili ya android app with python lakini inaniletea hii error ... # Buildozer failed to execute the last command # If the error is not obvious, please raise the log_level to 2 # and retry the latest command. # In case of a bug report, please...
  7. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    naombani msaada wenu nilikua na install buildozer kwaajili ya android app wit python lakini inan iletea hii error ... # Buildozer failed to execute the last command # If the error is not obvious, please raise the log_level to 2 # and retry the latest command. # In case of a bug report, please...
  8. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    Kwa mwenye ujuzi na Artificial intelligence au anayefahamu free tutorial ya kujifunza naomba anisaidie
  9. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    Je baada ya kumaliza kusoma python naweza kuendelea na nn?
  10. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    Na course ya free ni ipi
  11. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    Naamini izo code nilizo kuandikia nitakuwa nimekusaidia kama utakua na swali karibu
  12. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    code: name = raw_input("What is your Name: ") age = int(raw_input("Enter your Age: ")) if age >=18: print "Umri sahihi" print "Karibu ndugu %s, umri wako ni miaka %s. Endelea na maelekezo yanayofuata. " % (name, age) print "Kumuona daktari bingwa andika 1, Kumuona...
  13. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    Unapatikana wapi mkuu?
  14. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    Mimi nimpenza wa Artificial Intelligence
  15. I

    Nimeamua kujifunza Python programming

    Nasoma kupitia online tutorial kama una material naomba nisaidie
Back
Top Bottom