Recent content by IsaacMruma

  1. I

    Route ipi ya daladala inalipa kwa Moshi na Arusha

    Habari zenu wapendwa, Nahitaji ushauri hasa kwa wazoefu au wamiliki wa noah na hiece katika mkoa wa moshi na Arusha je ni root ipi nikiweka hoan au hice bas pesa itakuwa ya uhakika? Maana kuna root ambazo kwakweli ni hasara ila nimeona nitumie fursa hii yamkini nikapatana na watu wanaonufaika...
  2. I

    Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    sasa je ukipewa na ile mambo ndugu ndugu si utalazwa kwa upungufu wa mkojo mwilini Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
  3. I

    Jerry Muro: Utoto huu wa mbunge Nassari na Lema, Watanzania tuwe wakali. Tutapoteza taifa

    [emoji23] povu, kweli akili ndogo haiwez kuongoza akili kubwa kwahiy yeye kaona tareh ya video camera hajafikiria hiy 2008 hiyo mkuu wa wilaya alikuw wap?
  4. I

    MAJIRA YA KILIMO CHA KITUNGUU

    habar wandugu, Naomba kuuliza je nikianza kuotesha kitinguu mwezi wa kumi na moja nitapata mazao vizur au nisubiri mwakan mwez march? Naomben ushaur ukanda wa Kilimanjaro same
Back
Top Bottom