Pole na changamoto ila never ever accept the woman who left you no matter what because she will do it again and blame you for forgiving her_ukimruhusu arudi ujue unampokea mwanamke ambae SIO YULE ALIYEKUWA MKE WAKO!!!! You have been told and you have been warned...
[emoji16][emoji16]Naam hao ndio wanawake na saikolojia yao_ni viumbe wazuri kama you will learn to love them wisely and to lead them well and straight huku ukikommand kwao respect||submission||and loyalty__Know this and be at peace with yourself...
[emoji419]Pole dada yangu kwa kudate na yahoo boy,ila ushauri wangu ni kuwa dalili zote mbaya(RED FLAGS) kwa huyo mwanaume wako umeziona labda nikutajie: He is lazy|Hakupendi|Hakuheshimu|Hawezi kuwa mume na baba bora kwa watoto wako LAKINI pia na wewe una shida kwa sababu umekubali kumlea na...
Umofia kwenu wana JF...Pasaka njema kwenu,ndugu yangu usije narudia tena kumrudia mwanamke aliyekuacha ama uliyemuacha na akaendelea na maisha mengine,kwani hawi mwanamke yule yule uliyemfahamu hapo awali_hata hivyo huyo amerudi kwa sababu ameshindwa kupata replacement yako[emoji41]!!!!
Teh teh teh...Hongera kwa bandiko zuri lakini taasisi ya ndoa ina kanuni na misingi yake ambayo inapaswa kufuatwa,lakini pia ndoa sio theory kama wengi wanavyoihubiri lakini iko more practical zaidi na ndio maana unapewa cheti mwanzoni hili ukitetee__All in all unamuhitaji zaidi Mungu kuliko...
Pole kwa changamoto hiyo,lakini huo ndio ukweli kuwa ukihisi mkeo anachepuka basi tambua anachepuka kweli...Na kama hivyo ndivyo basi huyo keshapoteza hisia na wewe(let her go,walk away and move on)...
Mkuu Mshana Jr,ahsante kwa kutukumbusha kuwa mambo ya ndoa ni magumu sana_na inashauriwa mara nyingi kutoingilia hata kidogo lakini (a cheating woman when caught becomes very dangerous woman)[emoji41]...
Habari zenu wadau wa JF..
Kwanza dada pole na majanga ya kujitakia(kwa kuwa ulikuwa unajua unachokifanya) lakini pia FAHAMU kuwa gharama ya kucheat kwa mwanamke ni kubwa kuliko ukilinganisha na mwanaume__Dada ukweli ni kuwa you don't respect your husband||you have failed to be submissive to your...
Je, umekuwa unahangaika kutafuta namna ya kuagiza vitu vyenye ubora toka china? Je,unaishi nje ya Mkoa wa Dar es salaam na ungependa mzigo wako uliogiza toka china ukifikie popote ulipo ndani ya mikoa yote tanzania?
Hilo tatizo lako limepata ufumbuzi hebu njoo trade easy way company ltd ambapo...
Wakuu umoofia kwenu,kwanza wanawake huwa hawapendi(women don't love men) but wao huwa wanapenda vile unavofanya wajisikie na wako very very loyal to their feelings rather than your sacrifices_hivyo make sure you lead are well||unampenda kwani ndio wajibu wetu||unamtunza||na kikubwa unamwekea...
Mkuu hilo ni kweli kabisa ndio maana inashauriwa usiingilie mambo ya ndoa na tena usije ukatoa ukashauri kwa watu walio kwenye ndoa waachane||ama waendelee,kwa sababu NI WAO WAWILI TU NDIO WANAOJUA KINACHOENDELEA KWENYE HIYO NDOA YAO!!!!Dr.Mwaka and so called his wife WANAJUA WANACHOTAKIWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.