dis gud mada coz, hata wakaka ni walewLe ukimpenda na kumwonyesha kuwa unampenda anakuona zoba. hata mim nimeshatendwa kisa nilimwosha mkaka kuwa nampenda. tena wakaka huwa mnatabia ya kusema yule zoba tu mana mnakuwaga na foleni. alafu kaka zangu niwashaur wadada huwa wanatabia ya kumsoma...
kaka ongeza kipato ndo uoe garama za maisha zinapanda kila cku utaishije. inamana mpaka upate hao watoto wawili utang'a macho na huo mshaara. ckufichi kaka ukioa utajuta ongeza kipato xawe. tafuta hata shuguli zingine ufanye ucngoje mshahara kumbuka mwanamke atahtaji kwenda salun. mi ni...
dah huyo mama aongezewe miaka mitano haitoshi daha hzi roho za ukatil mbaya je na yeye angetupwa na wakaka mmezidi mcw mnakataa watoto wenu jaman co vzur mnackitika ila hata nyie wakatili ndo chanzo cha kufanya wadada watupe watoto
huyo mwanamke kilaza na anatuabisha wadada jamani hebu tafuta mtu aongee naye au hata wew kwa undani zaid inawezekana ukilaza wake unasababu na mshahara unamlipa wa ni. wakat huyo ni mkeo jukumu lake kukusaidia co kukaa ka ----- mwanamke mvivu hafai
kama mikoani watu wanahitaji sana asali xo funguka changamsha kichwa mana unapoambiwa njia hi kuna cmba ni jukum lako kujua upite wap ili umkwepe . umeelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.