Recent content by irishy

  1. I

    Je, ni kweli Wanawake wakibongo hupenda wanaume wasumbufu?

    mbona waguna kijana ndivyo ilivyo
  2. I

    Je, ni kweli Wanawake wakibongo hupenda wanaume wasumbufu?

    mwambie huyo kisa wadada htuongei bac wanajiona wapo sahihi
  3. I

    Je, ni kweli Wanawake wakibongo hupenda wanaume wasumbufu?

    dis gud mada coz, hata wakaka ni walewLe ukimpenda na kumwonyesha kuwa unampenda anakuona zoba. hata mim nimeshatendwa kisa nilimwosha mkaka kuwa nampenda. tena wakaka huwa mnatabia ya kusema yule zoba tu mana mnakuwaga na foleni. alafu kaka zangu niwashaur wadada huwa wanatabia ya kumsoma...
  4. I

    Hivi inawezekana kuishi na MKE kwa mshahara wa 150000?

    kaka ongeza kipato ndo uoe garama za maisha zinapanda kila cku utaishije. inamana mpaka upate hao watoto wawili utang'a macho na huo mshaara. ckufichi kaka ukioa utajuta ongeza kipato xawe. tafuta hata shuguli zingine ufanye ucngoje mshahara kumbuka mwanamke atahtaji kwenda salun. mi ni...
  5. I

    Mwanamke ahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kumtupa mtoto wake chooni....

    dah huyo mama aongezewe miaka mitano haitoshi daha hzi roho za ukatil mbaya je na yeye angetupwa na wakaka mmezidi mcw mnakataa watoto wenu jaman co vzur mnackitika ila hata nyie wakatili ndo chanzo cha kufanya wadada watupe watoto
  6. I

    Msaada: Mke wangu mvivu kupindukia!

    huyo mwanamke kilaza na anatuabisha wadada jamani hebu tafuta mtu aongee naye au hata wew kwa undani zaid inawezekana ukilaza wake unasababu na mshahara unamlipa wa ni. wakat huyo ni mkeo jukumu lake kukusaidia co kukaa ka ----- mwanamke mvivu hafai
  7. I

    Hao Wamerudi...

    wenzenu wanaenda kutembea nyie mwachoka hapo xaxa chenga la macho kila cku kazi ukute anamakao mapya wameanzisha huko
  8. I

    ipi njia sahihi ya mafanikio

    kama mikoani watu wanahitaji sana asali xo funguka changamsha kichwa mana unapoambiwa njia hi kuna cmba ni jukum lako kujua upite wap ili umkwepe . umeelewa
  9. I

    Rangi ya Kijani! inamaana gani katika Mapenzi?

    unahitaji kujua rang gani jiachie
  10. I

    ... Ivi Kuna MWANAUME ambaye hajamgharamia MWANAMKE...??

    ila hata mwanamke anamgaramikia mwenzie na mapenzi ni garama kwa pande zote sema hapo huwa inakuwa ngumu kuelewa na pia tunagaramika pasipo kujielewa.
  11. I

    Trust katika Mahusiano

    sure ndoa ni makaratic ila c inawezekana wenye upendo wa kwel wapo au
  12. I

    Trust katika Mahusiano

    sure i real nid ur help ktk hli
  13. I

    Kitanda cha wachumba

    hakuna kitu hapo kabla ya kulala watatafutana tena mkaka akiona paja au kifua ndo bac tena
Back
Top Bottom