Recent content by IRANDA

  1. I

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    kwa aliye tayari kumpata wa kubadilishana mwalimu wa shule ya msingi yeye aende GEITA kwa wa mikoa ya kaskazini ARUSHA,MANYARA NA TANGA
  2. I

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    kwa shule ya msingi anayetaka kwenda GEITA tuwasiliane
  3. I

    Nokia lumia 710

    kwa hiyo inabidi nifanyeje?
  4. I

    Nokia lumia 710

    tangu ninunue imekuwa na hilo tatizo
  5. I

    Nokia lumia 710

    Natumia Nokia lumia 710 lakini tatizo nililonalo ni kuwa nikitaka kuangalia salio haionyesha inakuja neno 'system terminated'.Pia hata nikitaka kujiunga na vifurushi mfano vya airtel siwezi kujiunga moja kwa moja kwenye simu nikipiga ile namba ya kujiunga linakuja tena neno hilo hilo 'system...
  6. I

    Yaliyojiri Bungeni - 15 Mei 2015

    Jamani hakuna link ambayo tunaweza kupata online?
  7. I

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Habari ya kazi wakuu. Kuna ndugu yangu anataka kununua gari kwenye hii kampuni ya Everycar.jp. Kwa anaeijua au ameshawahi kuitumia hii kampuni ipo vipi kwenye uhakika wa uagizaji? Nasubiri ushauri wenu.
  8. I

    Wizi/Utapeli/ubabaishaji wa Vodacom!

    Daaah hata mimi muda huu wamenifanyia hivyo hivyo.nilikuwa naongeza vocha kwa ajili ya kujiunga na kifurushi ili dakika na mb zilizokuwepo niziongezee nikatumia msg ombi langu linashughulikiwa mpaka muda umekwisha wameshalamba dakika zao na mb zao. KWELI HAWA JAMAA WA VODA NI SHIDAAAAAAAAA
  9. I

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo geita mimi niende kilimanjaro au arusha
Back
Top Bottom