Mbona una maneno makali sana bosi. Ilo ni tatizo la kibinadamu hata wewe linaweza likakutokea. Ni suala la kumrekebisha tu na sio kutumia maneno makali kama hayo.
Mkuu, hata gari unaweza ukajifunza mwenyewe na ukaweza ila baadhi ya sheria za barabarani hutoweza kuzijua hadi uende VETA au NIT.
Kwa maoni yangu kama atapata muda aende kwa hao jamaa akafundishwe ili apate mwanga baadae vingine atakazia kwenye you tube.
Laptop yangu inatatizo la charging system haipokei chaji, nimepeleka kwa fundi anarekebisha ila baada ya muda tatizo linarejea tena.
Naomba msaada wenu kama kunafundi mzuri anisaidie.
Asante
Samahani kwa kutoorodhesha hili.
Mradi utakuwa Dar es Salaam. Kwa kuanza itabidi tuingie gharama ya vifaa vya uzalishaji ambavyo havitagharimu milioni 5.
Nategemea na nipo kwenye process ya kuzalisha Black soldiers fly ambao watatumika kama chakula cha mifugo ikiwemo kuku, nguruwe, samaki na vinginevyo.
Pia mabaki yake yanayopatikana yatatumika kama mbolea. Hivyo ninahitaji watu walio serious nitakaoshirikiana nao katika katika kufanikisha hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.