Wana jamvi poeni na miangaiko pamoja vyuma kukaza leo nina tathimini ndogo juu ya Mbeya, Mbeya ni mji unaokaliwa na makabila mbalimbali lakini wasafwa ndio wenyeji... wageni ni kama 40% na wasafwa kama 60% hivi ccm wakakaa je Sugu huyu mkinga anawezaje kuanguka ? tutafute mgombea Msafwa...
Leo sijui kwanini nimekumbuka hadithi moja ya Abunuwasi. Hapo zamani za kale Abunuwasi alimuendea mfalme akamwambia anaweza kumshonea suti ya thamani sana ambayo wenye dhambi watakuwa hawaioni na wasio na dhambi tu ndio watakuwa wanaiona. Mfalme akampa kazi Abunuwasi ya kutengeneza suti ya aina...
Niliwahi sema Mwakyembee ni msomi wa sheria kiwango cha PHD, lakini hana hekima. Ana elimu kubwa lakini hajamsaidia wala kumjengea uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kama kiongozi.
Hana msimamo wala anachokiamini. Kama kipo anachokiamini, basi ni Madaraka.
Wanaofuatilia na kutafakari juu ya...
Yani sisi hatuja ajiliwa mpaka leo sababu ya watumishi hewa afu Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Darisalama ikithibitika Kama ni kweli aachwe hii dhambi na machungu tulio yapata mwaka wa pili sasa inanena mema pale ofisini kwako Pazuri kuliko ofisi zote za wakuu wa Mikoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.