Nmeenda tunduru(mbati kwenye mipunga na mahindi), songea, mbinga, Peramiho, makete, njombe, MBEYA-tukuyu wanakouza mkungu mpaka 1500, songwe, mbarali(kapunga, ubaruku, madibila huko ndiko wanakoongoza kwa kutoa mpunga hapa tanzania), kyela unakosikia kuwa kuna mchele mtamu,Chunya(makongorosi na...