Ninapenda sana waandishi wetu walioandika vitabu mbalimbali kama: Kufa na Kupona, Je Kisasi, Dimbwi la damu, Tutarudi na roho zetu, Salamu toka Kuzimu na kadhalika. Ninachotaka kuuliza ili munipe ushauri ni kwamba, Hadithi gani ambazo zinaweza kuigizwa na zikatengeneza movie film nzuri? Watu...