21.04.2012 Ni katika viwanja vya Mbugani jijini mwanza.
Rev. Hon.Peter Msigwa (Mb) Iringa Urban. Aliutangazia umma wa Tanzania kuwa Kinanaaa,,,,,, kinanaaaaa Kinanaaa ni
huyu Katibu mkuu wa CCM Anafanya biashara ya Pembe za Ndovu, anamiliki meli zinazo safirisha pembe za ndovu.
Kinanaaa...