Recent content by iPad ya Apple

  1. I

    Nashindwa kuiacha CCM

    CCM ni sawa na Pombe Haramu ya Gongo japo inaua lakini watu bado wanaendelea kuipenda. ccm ni sawa na Ngozi ya Nguruwe haifai hata kuwambia Ngoma au kutengeneza jamvi la kukalia.
  2. I

    Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo

    21.04.2012 Ni katika viwanja vya Mbugani jijini mwanza. Rev. Hon.Peter Msigwa (Mb) Iringa Urban. Aliutangazia umma wa Tanzania kuwa Kinanaaa,,,,,, kinanaaaaa Kinanaaa ni huyu Katibu mkuu wa CCM Anafanya biashara ya Pembe za Ndovu, anamiliki meli zinazo safirisha pembe za ndovu. Kinanaaa...
  3. I

    TuwachoreTu

    Mambo ya maccccm na li serikali lao lililo jaa dhuruma kwa wananchi wasio na hatia.
  4. I

    Mwenyekiti wa BAVICHA (W) Ngara awanyima usingizi viongozi wa serikali ya Kijiji cha Rulenge.

    Wakati zitto anaangamia kisiasa CDM inazidi kukua kisiasa. Nimeipenda hii kama chama kinaanza kupata mashiko hata pembezoni mwa Nchi. Ni dalili nzuri za Ukombozi wa pili wa Nchi hii.
  5. I

    Vita Mamba na Tembo

    Wapi Kinana?
  6. I

    Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

    Lowassa hafai hata Kuwa Kiongozi wa serikali za mitaa, acha abaki Kuwa Mfadhili wa makanisa na miskiti iliyokosa Hofu ya Mungu Upako wa kiroho kwa kufurahia Pesa haramu zinazotakatishwa makanisani na miskitini. Watu wanaweza kuletewa Jambo baya na wakalipinga jambo Hilo kwa sababu ya ubaya...
  7. I

    Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    Wakati watu Tunamwomba Muumba wetu atujalie Hekima na Busara, na Atukinge dhidi ya Kiburi na Dharau; Zitto yeye anajivunia Kuwa na Dharau na Kiburi. Kazi kweli kweli.
  8. I

    PICHA: Wafuasi wa CHADEMA na WAFUASI wa ZITTO Mahakamani

    Namhurumia sana huyu kijana.
  9. I

    Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    Zitto amewarahishia maamuzi kamati kuu safi sana, bila Shaka kadi yake ya CCM imeshaandaliwa pale Lumumba.
  10. I

    Zitto Asisubiri Kuvuliwa Uanachama; Ajiondoe Mwenyewe: Mahakama Isiingilie kazi za Chama!

    A muulize mwenzake kafurila alilia mbele za wajumbe wa kamati akiomba Msamaha wazee wa nccr wakadinda ndio kuamua kukimbilia kisutu.
  11. I

    Nani atatosha kuwa Waziri wetu wa Fedha baada ya kifo cha Dk. Mgimwa?

    Zakhia Meghji aliyechota pesa za watanzania kutoka BoT na kuwapa JK na Maccm mengine Kwaajiri ya Uchaguzi, baadaye akaropoka " Balalii alinidanganya" baada ya Kuwa wamemfanyia Surgical body na kuutangazia umma bila Aibu Kuwa amefariki kumbe mtu anakula bata Biston Marekani hadi leo hii. huyo...
  12. I

    Picha: AMIRIJESHI MKUU, RAIS JAKAYA KIKWETE AMWAPISHA MKUU MPYA WA JESHI LA POLISI TANZANIA LEO

    Nina mashaka sana na upeo wako wa Elimu, hujaelewa hoja hapa bila Shaka. Yaani cha mno hujakijua. Inawezekana hata hapo Jangwani hukuelewa kitu bila Shaka hata hiyo CBG huifanyii application uliyosoma imebidi ni kugoogle kwanza nipate pakuanzia. Pole sana Salome. Naambiwa unafanya kazi ikulu...
Back
Top Bottom