Recent content by Inyasio

  1. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Kamanda wa Zamu.(Mwanajeshi hatishii, hutenda)

    kongole kwa simulizi nzuri Kudo, mpaka nahisi unachelewa kuuweka mwendelezo asee
  2. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

    Mkuu nakushukuru sana kwa elimu yako hii adhimu. Leo, nina swali naomba kuuliza, Ni hatua gani ninayotakiwa kuchukua pindi nitakapokuwa nimepoteza cheti kile cha hisa whether cha champuni X ili kukirudisha/kupata kingine? 2. Kama nimesahau namba za cheti kile cha hisa ni wapi naweza kuingia...
  3. Inyasio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    watoto serious wanaharibika, nakushauri kama umepanga kwenda kuishi IFAKARA usijaribu, hamna serikali kule naamini kwa 90% vitoto darasa la TANO tu vina mambo makubwa hatari,,, ukiomba unapewa
  4. Inyasio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wapo, mimi nimebahatika kukutana nao baadhi moja nilimuopoa container jipya chuon wakat tulipoenda BASH kuwakalibisha mwaka w kwanz chuon. Usiombe. Demu wa alikuwa ana kichuguu yan mzur kwanzia nywele,miguu minene, ngozi soft hatar, ana mwanya dah nilipomwona nilikuwa frustrated kabx akili...
  5. Inyasio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    nahisi kupafahamu, it was like singida town maeneo ya bata ya NYOKAA MATELEPHONE BAR stand ya zaman
  6. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    app gan hii kaka
  7. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndio maana halisi ya betting Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  8. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapana mbona tunafata kaka. usitubanie pls achia dirisha hilo nasisi tupite Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  9. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kaka ukiweka mzigo screenshot t mkuu nasie tupite nao Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  10. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tupe japo nasisi mkeka moja tu tutulize matumbo yetu kwa njaa zinazotukabili. Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  11. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Namimi nilituma ndogo ili nione return yake itakuaje coz sijawai fanya mambo hizi za kulink na wakala hata kumjua humjui Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  12. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu jamaa aloweka namba ya huyu wakala xbet nimemtumia aniwekee hela kweny account hela imeenda alafu nampigia ananikatia simu. Msaada jaman Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  13. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    MSAADA JAMANI: Nimejaribu kuweka hela kupitia mwongozo huu naona inafeli kule mwishoni kabs inanambia transaction declined so sijaelewa. Mjuzi wa hili anipe mwongozo upya pls Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  14. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hata Mimi kaka pls 0623188585 Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
  15. Inyasio

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Australian NBL basketball nimeipa mzigo wa kwenda, na iko live now quarter ya pili unapumua vizuri tu naiona hela ya supu. Ubarikiwe sana sana. Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom