Recent content by INTROVERT MAN

  1. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Nchimbi alijipangia tarehe ya kujiuzulu rasmi ambayo ni 04/09/2026 huo muda angefanya kazi na nani? Au hajui athari za tukio alilolifanya?

    Unavyosema hajui athari zake basi turejee katiba ambayo imeweka uhuru kwa kiongozi anayetaka kujiudhuru. Ina maana na katiba haijui athari mpaka ikaweka huo uhuru wa kujiuzuru.
  2. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Nahitaji elimu zaidi katika matumizi ya solar

    Kuna watu humu JF wanajua kuelezea hadi raha. Yaani hata kama hujasomea hiyo field unaelewa Mujarabu kabisa.
  3. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Wait, Redmi amefanya hivi?

    Ni noma
  4. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Hiiapp imekaa vyema sana
  5. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Umekosea ulivomtaja huyo dada wa bima aliyekusaidia huoni kama unamchoma?
  6. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Je kijijini kwenu kuna hawa watu wanaomba kama vijiji vya kwetu?

    Yaani wanakera unakuta life limekupiga unasema ngoja nirudishe mpira kwa kipa ukajipange upya wao wanajua ukitoka mjini lazima uwe na hela. Hii imenikuta last weekend kwa kweli. Sasa hivi nina sheria yangu. Sitoi pesa pale kijijini kwa mtu ambaye huwa hamsaidii mama yangu au hana msaada kwa...
  7. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    Nature always win. Kwa nini hata mtoto wa kike wa kahaba huzaliwa akiwa na bikra? Kwa nini huwa inakuwa pale.?
  8. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Ushauri Unahitajika: Bei ya kiwanja kwa ajili ya kujengwa Mnara wa Mawasiliano ya simu

    Kama ni kuuza pesa ndefu iwe ni ngapi hivi
Back
Top Bottom