Unavyosema hajui athari zake basi turejee katiba ambayo imeweka uhuru kwa kiongozi anayetaka kujiudhuru. Ina maana na katiba haijui athari mpaka ikaweka huo uhuru wa kujiuzuru.
Yaani wanakera unakuta life limekupiga unasema ngoja nirudishe mpira kwa kipa ukajipange upya wao wanajua ukitoka mjini lazima uwe na hela.
Hii imenikuta last weekend kwa kweli. Sasa hivi nina sheria yangu. Sitoi pesa pale kijijini kwa mtu ambaye huwa hamsaidii mama yangu au hana msaada kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.