Habarini wakuu,
Niko hapa kuomba ushauri .
Kuna kiwanja kipo eneo zuri (kijijini lakini sio sana pamechangamka) .Sasa kuna watu wa kampuni moja ya simu wamekuja pale nyumbani kwetu ( tuna eneo kubwa karibia robo tatu ekari) na wametuambia frequency zao zimesoma pale kwetu na wanataka kuweka...
Nilienda kwa wakala nikatoa 75k. Mwenye duka kanipa elfu tano tano nyingiii. Kucheki kazidisha elfu tano. Nikaona yuko busy na wateja wengine walivyopungua nikampa kibunda chote huku nikimuambia ahesabie nahisi kazidisha. Hakuamini mpaka leo huwa ananiangalia kiutofauti. Wakati yanatokea hayo...
Mimi dada angu alishawahi angusha simu. Bahati ni kuwa hakuweka passwords. Aliyeokota hakuwa anaishi mbali na sisi akatupigia na kutupa maelezo tumfuate alipo. Guess what? Yule mtu alimpa dada simu na kisado cha nyanya kama zawadi.
Kisa cha pili
Siku nyingine dada angu huyuhuyu aliokota simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.