Na ajabu ilinipata kwa mara ya kwanza kabisa. Ujue nilikuwa natokea mwanza na nyumbani ni nyanda za juu kusini hakuna milima mikubwa.
Safarini nilishangazwa na mlima Hanang pale manyara sikushangaa sana, tukafika Arusha ila mlima Meru nilishangaa kidogo. Funga kazi ni kesho yake asubuhi nakutana...
Siku ya kwanza nafika Moshi mjini mkoa wa Kilimanjaro nilifika usiku sana nikiwa na kimuhemuhe cha kuuona mlima.
Asubuhi mida ya saa mbili vile nimeamka nikatoka nje. Jua lilikuwa linawaka vyema .magharibi kwangu kulikuwa na kitu kikubwa na kizuri kinachovutia sijawahi kukiona namna ile kikiwa...
Kama mwanamke anayejitambua lazima atatumia njia zote za kimedani kujuaa huyu mwanaume ameoa au hajaoa .
Lazima tu. akizaa na mume wa mtu basi ni makosha washalalaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.