Recent content by INTROVERT MAN

  1. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    Nature always win. Kwa nini hata mtoto wa kike wa kahaba huzaliwa akiwa na bikra? Kwa nini huwa inakuwa pale.?
  2. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Ushauri Unahitajika: Bei ya kiwanja kwa ajili ya kujengwa Mnara wa Mawasiliano ya simu

    Kama ni kuuza pesa ndefu iwe ni ngapi hivi
  3. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Ushauri Unahitajika: Bei ya kiwanja kwa ajili ya kujengwa Mnara wa Mawasiliano ya simu

    Habarini wakuu, Niko hapa kuomba ushauri . Kuna kiwanja kipo eneo zuri (kijijini lakini sio sana pamechangamka) .Sasa kuna watu wa kampuni moja ya simu wamekuja pale nyumbani kwetu ( tuna eneo kubwa karibia robo tatu ekari) na wametuambia frequency zao zimesoma pale kwetu na wanataka kuweka...
  4. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Kuna wanaume nikiwaangalia kwa muonekano wao, najiuliza hivi huyu atapata mpenzi kweli?

    Unanisikitiaha sana mtoa mada. Au kipa katoka.?
  5. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuzidishiwa chenchi dukani gengeni n.k? Ulifanyaje?

    Nilienda kwa wakala nikatoa 75k. Mwenye duka kanipa elfu tano tano nyingiii. Kucheki kazidisha elfu tano. Nikaona yuko busy na wateja wengine walivyopungua nikampa kibunda chote huku nikimuambia ahesabie nahisi kazidisha. Hakuamini mpaka leo huwa ananiangalia kiutofauti. Wakati yanatokea hayo...
  6. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuzidishiwa chenchi dukani gengeni n.k? Ulifanyaje?

    Mimi dada angu alishawahi angusha simu. Bahati ni kuwa hakuweka passwords. Aliyeokota hakuwa anaishi mbali na sisi akatupigia na kutupa maelezo tumfuate alipo. Guess what? Yule mtu alimpa dada simu na kisado cha nyanya kama zawadi. Kisa cha pili Siku nyingine dada angu huyuhuyu aliokota simu...
  7. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Ulianzaje kukaa gheto?

    Fanya maamuzi magumu
  8. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Ulianzaje kukaa gheto?

    Miaka yako tafadhali.
Back
Top Bottom