Recent content by INTROVERT MAN

  1. INTROVERT MAN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nazidi kuisubiri
  2. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Nani anayemlazimisha Asharose Migiro kuvaa Mahijabu na Mabaibui? Ni kumkosea sana

    Mtu anaitwa ASHA halafu unauliza kwa nini anavaa hijabu?
  3. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    Na ajabu ilinipata kwa mara ya kwanza kabisa. Ujue nilikuwa natokea mwanza na nyumbani ni nyanda za juu kusini hakuna milima mikubwa. Safarini nilishangazwa na mlima Hanang pale manyara sikushangaa sana, tukafika Arusha ila mlima Meru nilishangaa kidogo. Funga kazi ni kesho yake asubuhi nakutana...
  4. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    Siku ya kwanza nafika Moshi mjini mkoa wa Kilimanjaro nilifika usiku sana nikiwa na kimuhemuhe cha kuuona mlima. Asubuhi mida ya saa mbili vile nimeamka nikatoka nje. Jua lilikuwa linawaka vyema .magharibi kwangu kulikuwa na kitu kikubwa na kizuri kinachovutia sijawahi kukiona namna ile kikiwa...
  5. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Kipindi nikiwa geto sijaoa sabuni ilikuwa ni moja tu kufulia, kuogea na kuoshea vyombo wala sikuwaza

    Kutumia sabuni moja nayo unajisifia. Sidhani ni kama ni ustaarabu.
  6. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Kwa maana halisi, comment si maneno yanayowekwa chini ya post. Kisaikolojia Comment ni kipimo cha ustaarabu wa akili ya anaye comment

    Hao wanaotumia fake id lakini wanatoa yaliyopo vichwani mwao pia
  7. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Diamond Platinum hata kwenye filamu anaweza kufanya vizuri

    kwao wenzetu wazungu ni rahisi kunyoa au kuzifanya nywele watakavyo cause wao huwahi kukua .
  8. INTROVERT MAN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitaki hangaika na wanawake wa huku Duniani. Wale wa kule ni Wazuri na wote naanza nao mwenyewe

    Hivi hao wa mbinguni nao watakuwa wanasikia maumivu wakati nitakuwa nawatoa hizo bikra?.
  9. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Msamiati mpya nilioupata episode ya 21: "kukonect mwanzi na kuvuna ulanzi" ~Kufanya mapenzi
  10. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watoto nje ya ndoa wanakuwa na mafanikio sana kuliko wale walio ndani ya ndoa?

    Sasa mimi Suphian Juma nimeingiaje hapo?
  11. INTROVERT MAN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukizaa na mume wa mtu, jukumu la kulea mtoto ni lako mwenyewe!

    Kama mwanamke anayejitambua lazima atatumia njia zote za kimedani kujuaa huyu mwanaume ameoa au hajaoa . Lazima tu. akizaa na mume wa mtu basi ni makosha washalalaa
  12. INTROVERT MAN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

    Naona mods wameunganisha hizi id mbili; cristone cole &Da'Vinci.
  13. INTROVERT MAN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amechora tattoo begani ya ua nililomnunulia

    Hilo ua ulilomnunulia umelitoa wapi mbona ni kama tawi wala sio ua na haya hapa bongo hayapo??
  14. INTROVERT MAN

    JamiiForums Tanzania Hivi tukiamua kuachana na shilingi tukatumia dolar itakuwaje?

    aisee hapo kwenye exposure na uwezo wa kushawishi
Back
Top Bottom