Kwanini mgombea mwenza wa CCM kwa nafasi ya makamu wa raisi bado anashikilia cheo cha katibu mkuu?
Hamuoni kwamba nafasi zao zitawatisha wanaosimamia na kuhamasisha uchaguzi?
This general election is messed up all over.
iInaonesha jinsi ulivyo mshamba wa mambo; jinai inapotekelzwa na kufanikiwa kutendeka (kosa la vitendo) huwa halifi linahojiwa wakati wowote hata kama itachukua miaka kadhaa. Kwa nchi kama Tanzania ambayo haipo tayari kulinda watoa siri wakati wahusika wangali bado hai pamoja na kuwa na sheria...
Wana Jamvi
chiembe amethibitisha pasipo kushurutishwa ni kwa jinsi gani afya ya JPM walianza kuisababisha idorore na yeye akiwa shuhuda wa uwepo wake eneo la tukio kwa hiyo kinachosemwa na HP ni sawa kumbe walianzia huko Chato miongoni mwa wasaidizi wake ndio waliotumika akiwemo Chiembe.
Baada...
Mkuu
Huyu anapotezea muda tu wananchi; wakati wa JPM alipiga marufuku kudai malipo kwa jamaa wanaochukua mwili wa mpendwa wao kutoka mochwati, lakini cha ajabu alipoewa tu kiti akanza kutengea kila kitu kilichoagizwa na JPM sasa anajuta.
Kampeni anayofanya sasa hivi haina kitu chochote kigeni...
1. Magari hayo yamefungwa vifaa vya kuwafuatilia mienendo wagombea na taarifa kurushwa kusiko. Kama wanafikiri wanaweza kuongea chochote ndani ya hizo gari kilicho hasi kama damu haitamtoka puani.
2. Dereva wa mgombea katolewa na tume kwa hiyo kila mgombea anachokifanya kitawafikia tume kama...
Anatoa kickback ya kutosha kwa wa wasimamizi wa bwawa la rasirimali za nchi bila kuwadhulumu ndio maana anachokitaka kisera, kisheria, kiuongozi wanamhusudu na kumthamini kuliko mpiga kura hohehahe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.