Recent content by Intelligence Justice

  1. Intelligence Justice

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kutoridhishwa na sera za Uchumi za Rais Samia

    Rais aliyerithi kiti anatakiwa afanye maridhiano na hayati JPM pamoja na wananchi wengi wa kawaida vinginevyo huko anakoelekea itabidi alazimike kuongea lugha yao kwa vyovyote ili akubalike. JPM policies regarding the country's economic growth were better than the rest of the past and the...
  2. Intelligence Justice

    Rais Samia atoa Nishani za Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuzindua Kitabu cha Miaka 60 ya Historia ya Ofisi ya Makamu wa Rais

    Yaani Magufuli ni rais mstaafu halafu unajiita mwandishi wa shughuli za Ikulu?
  3. Intelligence Justice

    Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

    Usiandike ukosefu wa akili wako humu kwa mapenzi yako ya upande mmoja na chuki zako binafsi
  4. Intelligence Justice

    Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

    1. UVIKO ni mradi wa wema au wizi kutoka kwa wafadhili? 2. Nani alianzisha mradi wa JNHPP, Vidunda na SGR? 3. Nani alianzisha miradi ya maji, hospitali za kanda, zahanati na vituo vya afya? 4. Nani alianzisha ujenzi wa Ikulu ya Dodoma na kuhamisha watumishi wote wa serikali kwenda huko? 5...
  5. Intelligence Justice

    Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

    Chawa wa kisiasa Hakuna kitu chochote kigeni alichoanzisha saa100 zaidi ya zile zilizoainishwa kwenye iLani ya CCM ya 2020-2025 maana yake miradi yote hiyo ilibuniwa na kunadaiwa kwenye uchaguzi na JPM yeye akiwemo. Kwa msimpake mafuta kwa mgngo wa chupa asubiri Ilani ijayo ya 2025-2030 kuweka...
  6. Intelligence Justice

    Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

    Kifo cha Rais wa Awamu ya 5 Dokta John Pombe Joseph Magufuli kina utata uliopitiliza na ni lazima uchunguzwe kwa sababu zifuatazo 1. Si kawaida na kinyume na sheria kiongozi mkuu wa nchi anaugua kimya kimya wananchi oambao ni wapiga kura wa jimbo lake la uchaguzi la Jamhuri ya Muungano wa...
  7. Intelligence Justice

    Katibu Mkuu Nchimbi, zuia walioanza kampeni mapema ndani ya chama chako kabla ya muda

    Yeye mwenyewe anafanya kampeni huko aliko ana watu wake, mwenezi ana wa kwake na makamu naye ana wa kwake
  8. Intelligence Justice

    Katibu Mkuu CCM kumpinga RC Arusha kimafumbo anataka kumfurahisha nani?

    Katibu mkuu wa sasa wa CCM, Mwenezi taifa wake na Naibu mwenyekiti wanaendesha mtumbwi uliotoboka hawawezi kuwavusha watu kwenda ng'ambo, hapo katikati itatokea ajali wakati wakibishana wenyewe kwa wenyewe ndani ya mtumbwi hadi dhoruba na tufani itakipasua chombo na kusababisha watu walio panda...
  9. Intelligence Justice

    Kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Bukoba na agizo la Waziri Mchengerwa kwa UVCCM Rufiji vina tofauti gani?

    Huyu ni waziri wa TAMISEMI na ni mkwe wa Rais kwa kauli aliyoitoa katibu mkuu wa CCM Dk Nchimbi tunasubiri tuone atamfanya nini huku wakimshambulia Makonda kimafumbo etio wanatatua kero kimya.....are they serious these guys. Kuongea hadharani tayari ni sehemu ya suluhisho la tatizo lakini...
  10. Intelligence Justice

    Kanali mstaafu wa JWTZ analipwa Pensheni 22,000/= na Jenerali analipwa 50,000/=

    Halafu unakuta na wao pia wamo kwenye mkumbo wa kusifu anga lenye giza!!!
  11. Intelligence Justice

    Pesa zilizotolewa na mfalme wa Morocco ujenzi wa uwanja wa mpira Dodoma ziko wapi?

    Alimwua nani kwa mkono wake? Kama aliagiza aliyetekeleza hajui sheria kwamba utatii amri halali pekee?
  12. Intelligence Justice

    Mbunge Mavunde kuwapatia meza na vifaa vya kisasa mama lishe wa stendi kuu ya mabasi Dodoma

    A soothing political corruption hypocrisy is at work as we move towards the forthcoming local government and general elections event whereby all colors shall be featured to lure the ignorant and poor voters.
  13. Intelligence Justice

    Makonda na mind games: Ukubali usikubali, Rais Samia anasahihisha madudu ya Hayati Magufuli!

    Aliyemfungulia kesi ya ugaidi Mbowe ni JPM (Dikteta-Mwamuzi) au SSH (Demokrasia-Kuendeshwa)? Dikteta anafanya maamuzi lakini mmdemokrasia anaendeshwa watakavyo mabwanyenye
  14. Intelligence Justice

    Makonda: Kuna UJINGA unaendelea wa kumtofautisha Hayati Magufuli na Rais Samia

    Ameanza kuwa mkosefu wa adabu . Hakuna mfanano wowote wa kimawazo, kifikra, kimatendo na kimaamuzi kati JPM (Simba) na SSH (Chui)
Back
Top Bottom