Rais aliyerithi kiti anatakiwa afanye maridhiano na hayati JPM pamoja na wananchi wengi wa kawaida vinginevyo huko anakoelekea itabidi alazimike kuongea lugha yao kwa vyovyote ili akubalike.
JPM policies regarding the country's economic growth were better than the rest of the past and the...
1. UVIKO ni mradi wa wema au wizi kutoka kwa wafadhili?
2. Nani alianzisha mradi wa JNHPP, Vidunda na SGR?
3. Nani alianzisha miradi ya maji, hospitali za kanda, zahanati na vituo vya afya?
4. Nani alianzisha ujenzi wa Ikulu ya Dodoma na kuhamisha watumishi wote wa serikali kwenda huko?
5...
Chawa wa kisiasa
Hakuna kitu chochote kigeni alichoanzisha saa100 zaidi ya zile zilizoainishwa kwenye iLani ya CCM ya 2020-2025 maana yake miradi yote hiyo ilibuniwa na kunadaiwa kwenye uchaguzi na JPM yeye akiwemo.
Kwa msimpake mafuta kwa mgngo wa chupa asubiri Ilani ijayo ya 2025-2030 kuweka...
Kifo cha Rais wa Awamu ya 5 Dokta John Pombe Joseph Magufuli kina utata uliopitiliza na ni lazima uchunguzwe kwa sababu zifuatazo
1. Si kawaida na kinyume na sheria kiongozi mkuu wa nchi anaugua kimya kimya wananchi oambao ni wapiga kura wa jimbo lake la uchaguzi la Jamhuri ya Muungano wa...
Katibu mkuu wa sasa wa CCM, Mwenezi taifa wake na Naibu mwenyekiti wanaendesha mtumbwi uliotoboka hawawezi kuwavusha watu kwenda ng'ambo, hapo katikati itatokea ajali wakati wakibishana wenyewe kwa wenyewe ndani ya mtumbwi hadi dhoruba na tufani itakipasua chombo na kusababisha watu walio panda...
Huyu ni waziri wa TAMISEMI na ni mkwe wa Rais kwa kauli aliyoitoa katibu mkuu wa CCM Dk Nchimbi tunasubiri tuone atamfanya nini huku wakimshambulia Makonda kimafumbo etio wanatatua kero kimya.....are they serious these guys.
Kuongea hadharani tayari ni sehemu ya suluhisho la tatizo lakini...
A soothing political corruption hypocrisy is at work as we move towards the forthcoming local government and general elections event whereby all colors shall be featured to lure the ignorant and poor voters.
Aliyemfungulia kesi ya ugaidi Mbowe ni JPM (Dikteta-Mwamuzi) au SSH (Demokrasia-Kuendeshwa)?
Dikteta anafanya maamuzi lakini mmdemokrasia anaendeshwa watakavyo mabwanyenye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.