Mkuu
Sijui umetumia kigezo gani kuchakata hizi data ama umenakili kutoka mahala na kubandika iliuonekane unatoa mipasho kwa wakinzania wenu.
Pili mtiririko wa data hizo umejirudia mara tatu kwa namba 22; mara mbili mbili kwa namba zifuatazo 3, 6, 11, 14, 15, 17m 18, 20, 25, 32, 43.
Halafu...
Hujwahi kuwa na hisia chanya kwake hata siku moja. Majaji wanaitwa 'Your Lordship' hujawahi kulalamika. Malkia wa Uingereza anaitwa 'Her Majesty', 'Her Royal Highness', 'Your Royal Highness' hujawahi kuhoji. Kusujudu hiyo ni tafsiri yako yenye fikra hasi siku zote.
Hata huyo aliyemwita mtukufu...
All these referenced news outlet from the western puppets reflects how stereotype you are towards Tanzania's stance to uniquely opting its gateway to combat the outbreak that leaves teh sadist surprised.
Let me ask a simple question if at all you a Tanzanian or representing someone to feed your...
Mkuu
Hapana mie ni mvuvi, nahisi huo ni mgongano wa mawazo wengine hawana uwezo wa kubeba mawazo kinzani ndio maana wanaamini na kuzingatia hisia badala ya uhalisia.
Naibu waziri anadai kodi ya majengo ambayo hayajasajiliwa wala kupewa na ya utambuzi malipo serikalini kwa kutumia sheria gani?
Jengo lolote ambalo serikali halikulisajili ni sharti waanze kulitambua mmiliki wake kisha wampe namba ya kulipia (Control Number) na risiti ya mashine ya EFD itolewe...
Umesimuliwa ukakimbilia kuja kubandika bango humo kana kwamba una akili sana kumbe bure tu.
Kama huna uwezo wa kujua taaluma halisi za watu ni ngumu sana kwa ninyi wanasiasa uchwara kuelewa nini maana ya usalama wa nchi na raia wake. Ninaweza kuwa nataaluma yangu halisi lakini ili niweze...
Peter Msigwa sio mchungaji na hawezi kuwa mchungaji kwa tabia zake alizokuwa nazo.
Mjumuisho wa sifa zifuatazo zinamtoa huyo mwanasisa kwamba ni mchungaji kwa kuwa hana uthibitisho wa uadilifu wake katika jamii na watu wa imani yake ya kiroho:
"..
SIFA NNE(4) ZA KIONGOZI MZURI KANISANI. 1...
Hakuna mtu aliyegoma labda wewe unayeimbishwa na kubadilishwa mawimbi ya akili zisizojitegemea kufanya mabo yake hadi kitufe cha mbali kibonyezwe kukupakia kitu gani ukiseme, ukitende au ukiandike.
Hakuna mgomo isipokuwa ninyi wanasiasa uchwara ndio mnawapa taharuki wananchi kutokana na...
Wakuu wenye bongo bobevu,
Hili bandiko limekusudiwa kuuliza wataalamu wabobezi kwamba, mosi,
1. Je, vimelea vya virusi vya Korona vilitokea tu kutokana na nguvu ya asili na mabadiliko ya hali hewa ikiwa na chanzo cha viumbe hai ama mimea au vimetengenezwa na binadamu kupitia utafiti wa utukutu...
The fox of no orientation is always troubled by hallucination and illusion of Magufuli regime; when he is sleeping, seated, walking or driving he dreams Magufuli haunting him and his allies.
He will continue lodging millions of drama complaints with consequential unresolved frustrations
Mwambie wale wanaozingatia hicho unachotaka Tanzania kifanyike athari zake ni hizi hapa
#
Country,
Other
Total
Cases
New
Cases
Total
Deaths
New
Deaths
Total
Recovered
Active
Cases
Serious,
Critical
Tot Cases/
1M pop
Deaths/
1M pop
Total
Tests
Tests/
1M pop
Population
World
111,011,295...
Wewe ndiye koozito sio kwa kutumia utambulisho mwngine gushi? The next target hit is to you keep on insulting the challengers!!
Is there any scientist who has ever disproved existence of God the Universe Creator?
Read the following and disgest before uttering such blasphemy
Why Science Does...