Yuko wapi TIDO mhando jamani, TBC inakufa maana sijui ni nani huwa anaandaa vipindi kwenye chombo hiki cha habari,
Sasa hivi vipindi ni vibaya havina hata mvuto kuangali, Taarifa ya habari ndo haileweki,Picha inachelewa ku desplay mpaka huwa namuonea huruma mtangazaji,.
ni kipindi kimoja tu...