Recent content by inswa

  1. I

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Magari used Tanzania

    Ili we umpigie mwenye gari maanake kuna mtu katikati yako na mwenye gari, kama si hivyo basi mwenye gari akupigie yeye mwenyewe mfanye biashara.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Tengeneza hadi 50,000/= kwa siku kwa kufanya biashara ya kuuza internet kupitia WiFi kwenye maeneo yenye mkusanyiko

    Hata sasa makampuni makubwa yanatoa huduma karibu nchi nzima vijij vyote, ila kwa upande wa bando ni gharama sana kununua kutoka kwao, njia rahisi ya kupunguza gharama za mb ni wifi tu unakuwa na uhuru mkubwa wa kutumia internet hata nchi zilizoendelea wanatumia wifi sana kuliko kununua bando...
  3. I

    JamiiForums Tanzania Kuhusu mwanamke mjamzito aliemwambia mume wake akatumie kisu na mikasi kumzalisha, Chalamila ametoa utetezi hauna kichwa wala mdomo, wa hovyo kabisa!

    Inawezekana mkuu wa mkoa kajibu hivyo kwa sababu ya hizohizo siasa, maana unamama mja mzito umefika wakati wa kujifungua zile hekaheka tu ni wazi kila utakachoambiwa na daktari utakitafuta tu, kwa wakati huo huwezi kukumbuka kumpigia simu mkuu wa mkoa. Suala la ujauzito sio dharula, kwa mjamzito...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Tujadili uwepo wa idadi kubwa ya wenye nyumba ambao ni maskini hapa Tanzania hasa jijini Dar

    Umeongea point muhimu sana ila kutokana na uwezo mdogo wa kufikiria tulionao wengi wetu kulikopelekea hadi kuwa na maisha ya kukaririshwa utaishia kuonekana huna akili, kama baadhi ya wachangiaji humu walivyochangia. Nyumba zimepelekea watu wengi kuwa maskini bila wao kujua.. hapa simaanishi...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuishi kijiji gani chenye jina la kipekee?

    Kazaroho kipo Kaliua Tabora
  6. I

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Enock (Henoko)

    Aliwaona malaika wamening'inizwa kama wananyongwa lakini hawafi, wanapitia mateso makali wanalia kila dakika. Alivyouliza akajibiwa kwamba hawa ni wale wanaompinga Mungu! Dah kumbe mambo ya utekaji yalianzia huko, kweli hakuna jipya duniani na pengine wana hoja za msingi tu maana hao ndo hukaa...
  7. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

    Kumbe ishu ni kuwa wa kwanza! Kwamba akiwa wa kwanza tu hakuna shida hata kama mwanaume akiendelea kuoa wanawake wengine!
  8. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

    Hakuna kujitambua kwa mwanamke mbele ya mwanaume mwenye akili timamu, ni jambo la asili, ni mwanamke kwa ajili ya mwanaume na si mwanaume kwa ajili ya mwanamke.
  9. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume huu ndio ukweli ambao hamjawahi kuambiwa

    Ni mwanamke kwa ajili ya mwanaume na si mwanaume kwa ajili ya mwanamke, hakuna usawa wala haitakuja kutokea tuwe sawa kimtizamo, kimaono, kifikra hata kihisia.
  10. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya sababu za kukataa kuoa, hoja zangu ni katika mtazamo wa kukataa kuuishi Ujinga na Upumbavu

    Bado hoja zako hazitoshi kuuthibitishia ulimwengu kwamba kuoa ni kuuishi ujinga na upumbavu, sanasana zimejikita katika mtazamo wako
  11. I

    JamiiForums Tanzania Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Nendeni, hao waliowapigia simu wanajua, sasa wanawaonea huruma ndio maana wanawaambia muende msije mkafilisika na bado mgonjwa asipone!
  12. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini kampuni ya Maboto haina Application Number ya mkopo katika mfumo wa ESS

    Umeshawahi kukopa au unasimuliwa! Mkuu achana na hizo lugha za kibiashara ongea uhalisia wa mambo!
  13. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini kampuni ya Maboto haina Application Number ya mkopo katika mfumo wa ESS

    Shida watanzania huwa hatuna desturi ya kufanya tafiti huwa tunaongea kwa hisia tu. Huko bank kuna riba kubwa kuliko maboto na bayport! umewahi kukopa au unasimuliwa tu! fanya reseach halafu urudi tena hapa
  14. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini kampuni ya Maboto haina Application Number ya mkopo katika mfumo wa ESS

    Mkuu mm sio mjinga kama unavyodhani, nilikopa tsh 17,000,000 NMB, baada ya salary kucheck natakiwa kulipa tsh 25,330,000 sasa hiyo ni %ngapi? hata hizo taasisi tunazoziamini zina riba kubwa tu. Kuchukua mkopo kwa muda mrefu au mfupi ni kulingana na mahitaji yako maana muda mfupi mkwanja kidogo...
Back
Top Bottom