kwa watanzania sio kila anachosema anamaanisha ila jua kuwa jamaa ni kiazi kwa upande mmoja ila na wewe jua kuwa mtu akishaoa haiwezekazi kuleta usela wa kwensa kwa mshkaji na kulala kwake jitambue wewe acha undezi
sio kadi hai hizo zote mpya zile thn hapa issue sio kadi pia kwani wanahangaika na mambo yasio na maana kwa watanzania wa leo . ATUELEZE ILE RASIMU YA WALIOBA WALIIFANYA NN PALE BUNGENI HATA TUWAAMINI KWANI SISIS SIO WAJINGA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.