Recent content by Inspector Jws

  1. I

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huu ni mkeka wangu wa wisho wa wiki hii pia drop mkeka wako bora wa wiki 1DF0B37 code sporty pet
  2. I

    JamiiForums Tanzania Mkoa gani unajivunia zaidi Tanzania?

    Hahaha 🕷️ 🕸️ spider man?
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mkoa gani unajivunia zaidi Tanzania?

    Let me start,mimi ni Geita kwa sababu ni mkoa wenye Amani sana.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Mkoa gani unajivunia zaidi Tanzania?

  5. I

    JamiiForums Tanzania KWELI Kuna mimea inakula nyama

    Ndio, kuna mimea inayokula nyama, na huitwa mimea inayokula wadudu au mimea ya minyama (carnivorous plants). Mimea hii imebadilika na kuweza kunasa wadudu na viumbe wadogo kwa ajili ya kupata virutubisho vinavyohitajika, hasa katika mazingira ambayo yana upungufu wa virutubisho kwenye udongo...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Tulienda shule kufanyaje kama hata hizi kazi za muda wanapewa watumishi wa serikali

    Uko sawa kwa sababu elimu yetu inatuandaa kuajiliwa siyo kujiajiri
  7. I

    JamiiForums Tanzania Katarama mnawahi wapi?

    Hii Hii Nchi haiwezi kuwa na upumbav kama huo, mtu ana haki ya kufanya chochote ndani ya nchi yake isipokuwa asivunje sheria.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Katarama mnawahi wapi?

    True
  9. I

    JamiiForums Tanzania Magufuli: Spika (Ndugai) wadhibiti wanaoropoka Bungeni, wakija mtaani tuta-deal nao! Nafuu wakalale wanyamaze...

    Duuh damu za watanzania zinazidi kuwatafuna
  10. I

    JamiiForums Tanzania Sarco Pod: Kifaa maalumu cha kujitolea uhai kilichopata umaarufu miaka ya hivi karibuni

    Kifaa maalum cha kujiua kinachoitwa "Sarco Pod" kimepata umaarufu katika miaka ya karibuni. Kifaa hiki kiliundwa na Philip Nitschke, mwanzilishi wa Exit International, na kimeundwa kusaidia watu wanaotaka kufa kwa hiyari (assisted suicide). Sarco Pod inatumia nitrojeni kwa kupunguza oksijeni...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Uajiri Ndani ya JWTZ Bado Una Utata na Ukakasi.

    Tr N kweli mkuu
  12. I

    JamiiForums Tanzania Historia ya binti wa Kigiriki "MEDUSA"

    Medusa ni mojawapo ya wahusika maarufu katika mitholojia ya Kigiriki, ambaye alikuwa mwanamke mwenye nyoka kwenye nywele badala ya nywele za kawaida. Kulingana na hadithi, yeyote aliyemtazama Medusa machoni alikuwa akigeuzwa kuwa jiwe. Medusa alikuwa mmoja wa dada watatu waliitwa Gorgons...
  13. I

    JamiiForums Tanzania Uajiri Ndani ya JWTZ Bado Una Utata na Ukakasi.

    Brother naomba uelewe polisi siyo jeshi ni vibaraka wa bibi,Jeshi ni moja 2 JWTZ for life
  14. I

    JamiiForums Tanzania Naomba kupata uhalisia kuhusiana na picha hii, inapatikana wapi?

Back
Top Bottom