Recent content by insitu

  1. I

    JamiiForums Tanzania Hospital ya Hindu Mandal ipo sehemu gani?

    Duh! Wanaume wa dar hao hawawezi hata kumwelezea mtu aahukie wapi ili aanza kuulizia ilipo hindu mandal.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Waturuki nao wako vizuri

    Sultan
  3. I

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe mwanaume angalau uwe na sifa zifuatazo

    Hiyo 21 moja safi sana pia. Sio vibaka wakija unaongea kwa sauti kinyooonge "nyie nyie Mungu anawaina" badala ya yake wakutane na muziki wenye uhalisia wakasimulie.
  4. I

    JamiiForums Tanzania BAADA YA KIFO: Roho za binadamu huenda mbinguni; Roho za wanyama na viumbe wengine huenda wapi?

    Anavyokufa mbwa ndivyo anakufa binadamu. Mwili (udongo) hutengana na nafsi(pumzi). Mwili hurudi udongoni ulikotoka na nafsi hurudi kwa aliyeitoa (kwa Mungu). Ikumbukwe kuwa nafsi ni pumzi ya Mungu tu na bila shaka ni hewa hii hii tuivutayo. Hii inamaanisha kuwa hakuna makazi ya nafsi huko...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Hiki kidude kinaitwaje kinanikera nikikutana nacho

    Mbona hakina shida. Labda sisi watumiaji ndo tunakitumia vibaya. Pengine tunakisogeza sana kwenye ninihii au kukisokomeza kabisa. Ikiwa ni hivyo hakiwezi kufanya kazi barabara
  6. I

    JamiiForums Tanzania Haya ni ya kweli?

    Eti ni kweli kuwa kuna watu walio kwenye mahusiano/ndoa ambayo wanaume wanalipia kwa wenza wao tendo la ndoa kati yao? Eti hulipia pesa, mavazi mapya(ahadi ya kununliwa au kupewa cash kwa ajili hiyo), chips nk? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. I

    JamiiForums Tanzania Dar ndio mkoa wenye wanaume waoga zaidi Afrika

    Kweli kabisa, kama wabaume 10 wanajificha kwenye vitz kwa kuogopa panyaroad ni lazima wawe waoga namba 1 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. I

    JamiiForums Tanzania Karibuni Sana Kwenye Sherehe za Vibanda 2018

    Ubarikiwe Sent using Jamii Forums mobile app
  9. I

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa taifa kuandikwa "Tanzania National Main Stadium" ni sahihi katika sarufi(grammar) ya kiingereza?

    Taifa Stars, National Stars, Nyota za Taifa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. I

    JamiiForums Tanzania Ni kwamba watanzania ni wazembe kutembelea nchi za nje au ni Serikali inawabana kutoka?

    Kama unaona unakokwenda si bora kuliko kwako, kwanini uende? Hapa pasingefaa na pakaonekana pengine pa kufaa, hakuna kitu chochote kingezuia watanzania wasiende. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. I

    JamiiForums Tanzania Msiba wa Mh. Sugu: Anguko la maadili ya kitanzania ni kubwa mno

    Hakunna anguko la maadili hapo. Ungetafuta kichwa cha habari kingine. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. I

    JamiiForums Tanzania Viwango vya ubora wa huduma za Jeshi la Polisi Tanzania hoi, Rwanda yapenya

    Mbona orodha haikufuata utaratibu wa kawaida wa kuandika namba. Nani amewaambia Tanzania haimo au ni nchi 4 tu za afrika zimo? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. I

    JamiiForums Tanzania Ivi kwanini wanawake wakiwazidi waume vyeo na vipato wnabadilika ghafla.

    Hiyo ni kawaida. Unaishi kwa akili, vinginevyo utaumia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom