Recent content by innosaint gerald

  1. innosaint gerald

    Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

    EAC ni kenya pekee ndio inauchumi wa juu, nchi kama Rwanda na burundi,uganda,Tanzania sisi pesa zetu zinathamani ukiwa ndani ya nchi yako sio ukienda kwa jirani mf ukienda uganda lazima upewe ile minoti pale mpakani, ukiingia rwanda unapewa ile mi franc ya rwanda, burundi hali kadhalika. Nchi...
  2. innosaint gerald

    IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

    Binafsi kwa uelewa wangu mdogo na nnavyofahamu ni kwamba IDF inafanya kazi kwa ukaribu sana na MOSSAD ikishirikiana na akina CIA. Kuna operations nyingi sana MOSSAD imefanya na kufanikiwa kwa asilimia zote. Kuna vita ya ujasusi iliwahi kuwepo baina ya israel na misri pia israel na syria ambapo...
  3. innosaint gerald

    IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

    Tanzania tumebarikiwa kupata viongozi wa ovyo sana. Mungu inusuru Tanzania yetu na vizazi vijavyo
  4. innosaint gerald

    Mzozo wa Congo, kwanini mchokozi asiwajibishwe?

    Angejaribu kujichanganya na kuivamia Tanzania aone shughuli yake
  5. innosaint gerald

    Mzozo wa Congo, kwanini mchokozi asiwajibishwe?

    Rwanda inawaneglegate hao M23 kwasababu mwanzo walikuwa waasi na kagame na kagame hawezi kuwarudisha nyumbani ilihali bado anataka mali zaidi kwa wacongo. Hizi nchi zilishakuwa na uhasama tangu na tangu huko nyuma, rwanda haipo powerful kama wengi wanavyodhani rwanda inajitahidi kujihami...
  6. innosaint gerald

    Mzozo wa Congo, kwanini mchokozi asiwajibishwe?

    Hapa unatudanganya sana, kagame hawezi kuwa kama putin hapa EAC, kagame ni muasi kama waasi wengine waliojichukulia madaraka kibabe kwasababu walikuwa na dhamana katika jeshi la rwanda pia ukiangalia mfumo wa rwanda ni tofauti na kwetu Tanzania, wakati rwanda inajitafuta kujitawala Tanzania...
  7. innosaint gerald

    Zijue namba za Magari na maana zake

    Hizo ni gari za rwanda chininya mradi wa SGR
  8. innosaint gerald

    Urusi imeishiwa wanajeshi hadi inarejesha vitani waliojeruhiwa na kupewa likizo

    Hizo ni propaganda zinatengenezwa za vita ila uhalisia wa mambo ni kwa ukraine kutegemea support kwa marekani na washirika wake ambao mpaka sasa hivi nao wameshaona kabisa wanajiingiza hasara kugawa silaha kwa taifa linalozidiwa kimaaraifa na urussi. NB: Vladimir Putin ni jasusi mbaya sana ktk...
  9. innosaint gerald

    Kwanini Iringa na Morogoro zinapendwa sana na Wazungu kutaka kuishi?

    Bado sijaona fact yako hapo kufananisha arusha na songea au sumbawanga
  10. innosaint gerald

    Kwanini Iringa na Morogoro zinapendwa sana na Wazungu kutaka kuishi?

    Huna maajabu kabisa hata uwezo wako wa kulinganisha bado ni hafifu kabisa. Kwanza huwezi kuifananisha Arusha na mji wowote apa Tanzania wala afrika mashariki au afrika kwa ujumla, pili arusha ndio lango kuu la wazungu wengi kupitia Kilimanjaro wapo wazungu walioishi miaka mingi ya nyuma na leo...
  11. innosaint gerald

    Funga mwaka: Ukweli usemwe kuhusu mambo matatu yaliyomshinda Hayati Magufuli

    George Weah wa Sierra leone ni rais mbona
  12. innosaint gerald

    Kwa wale mnaotaka kutembelea Rwanda muwe makini na vitabia vyenu mnaweza kuonja jela

    Ndio ni kweli unachokiongea kuhusu nchi ya Rwanda. Mimi nimewahi kufika kigali jamani ni ka nchi kadogo sana pili inamilima mingi, usije ukajaribu kugombana na mtu au kuongelea Rwanda vibaya ukiwa ndani ya mipaka yao utapotea huyo Kagame anachukuliwa kama mtukufu ndani ya ile nchi, hawana price...
  13. innosaint gerald

    Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

    Nyie ndio kina makamba mnaobeza juhudi za wale waliokuwa na uthubutu. Hopeless kabisa ww.
  14. innosaint gerald

    Maneno ya Dkt. Bashiru ni shambulizi kwa Rais Samia na yenye ajenda ya siri. Aitwe haraka na kuhojiwa na chama

    Wewe kijana unaesema unanipenda nchi yako, hebu acha taarabu halafu uje na facts ambazo zinaweza kumtetea huyo mwanamke ili asifiwe na kuunga mkono juhudi zake! Katika uongozi mbovu na duni ni huu wa huyu mwanamke hakuna kitu kafanya zaidi ya kulipa taifa hasara maji hakuna,umeme wa shida...
  15. innosaint gerald

    Shaka: 2025 Mgombea Urais wa CCM ni mmoja tu Rais Samia Suluhu Hassan kwa Tanzania na Rais Mwinyi kwa Upande wa Zanzibar "Case Closed "

    Kila la kheri ktk mkakati kabambe wa kuongoza nchi nyie genge la fisiemu, naona mnataka tuwaachie tena muiuze hii nchi na huyo mama yenu
Back
Top Bottom