chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Rwanda ni pazuri na kuna totozi za maana kama unamke basi unaweza kuongeza mwengine walivo wazuri.
Rwanda bwana ukiwa na tabia za ajabu umetoka nazo kwetu utajikuta jela usipo kuwa makini.
Rwanda ina askari wengi wanaochunguza raia sana yani wewe nenda huko kamzungumize Kagame kama tunavojimwaga hapa ndio utajua kama umetumwa.
Mambo kama kutupa uchafu ovyo ndugu utapotea.
Ukienda ufanye kilichokupeleka na usipende kupita pita kila duka ukilinganisha bei .
Nilichowapendea wanamkubali sana Simba aka domo na marehemu Kanumba.
Wale jamaa wanaogopa ofa labda kama unajuana naye. sisi mnakutana baa na kuanza mpe huyu mruke yule.
Bia zao ni kubwa yani mnaweza kunywa watu watatu
Rwanda bwana ukiwa na tabia za ajabu umetoka nazo kwetu utajikuta jela usipo kuwa makini.
Rwanda ina askari wengi wanaochunguza raia sana yani wewe nenda huko kamzungumize Kagame kama tunavojimwaga hapa ndio utajua kama umetumwa.
Mambo kama kutupa uchafu ovyo ndugu utapotea.
Ukienda ufanye kilichokupeleka na usipende kupita pita kila duka ukilinganisha bei .
Nilichowapendea wanamkubali sana Simba aka domo na marehemu Kanumba.
Wale jamaa wanaogopa ofa labda kama unajuana naye. sisi mnakutana baa na kuanza mpe huyu mruke yule.
Bia zao ni kubwa yani mnaweza kunywa watu watatu