Recent content by Inkhubu

  1. I

    Rafiki wa mpenzi wangu ananitaka kimapenzi, nifanye nini jamani?

    Facts What goes around comes around Dawa ya moto ni moto Wanawake wanapenda sana revenge Assumptions Bado unampenda mpenzi wako mlioachana Unaweza kuwasiliana nae ukitaka What to do Mgegede rafiki wa mpenzi wako wa zamani na hakikisha mpenzi wako amejua Possible results Mpenzi wako wa zamani...
  2. I

    Huyu bibie Kama ni M-Danganyika atakuwa ni mtu kutoka wapi? Mbeya?Bukoba, Dar au kilimanjaro?

    my granny alinifunza.."never ask a lady a direct question, talk with her and you will get all the answers in due time"
  3. I

    Mali inasakwa Makaburini si Mashambani tena

    mshana jr...comment yako imering a certain bell in my brain..I believe long, long time ago nimewahi kusoma kitabu chenye title ya "Nothing is the Number When You Die" am I right?
  4. I

    Zari white party dress! Ni shidaaa!

    looks like an Amazon to me...siku nikitaka kuona pingili nitaenda kununua muwa..I like 'em slim and smooth!!!!
  5. I

    Utajisikiaje ukikutana na (thread) hapa Jf inayomhusu mpenzi wako?

    Naomba niulize utajuaje kama ni wife wako anayezungumziwa?
  6. I

    Msaada: Hoja ya kuoa wake wawili au zaidi

    kwanza point ni mwanamume kuwa na wake wengi and not the other way pili mwanamke alitambuliwa kuwa ni mzinzi ...for what she had done kwa kupitia kwa wanaume watano was pure sin
  7. I

    Msaada: Hoja ya kuoa wake wawili au zaidi

    mkuu umechanganya kati ya kuruhusiwa kufanya kitu na treatment ya mtu iwapo umeshafanya kitu...kuna dini nyingine zinakataza kumuingilia msichana bila kumuoa..still zinasema "kama mwanamme atamharibia usichana wake binti ambaye si mkewe basi na amtolee mahari na kumchukua awe mke wake" ..unataka...
  8. I

    Msaada: Hoja ya kuoa wake wawili au zaidi

    Hilo neno nililoliwekea wino mwekundu ni la kiingereza au kiswahili? umeliweka ili tujue na wewe unakijua kiingereza au? aidha hujielewi au huelewi unachoandika ndugu
  9. I

    Nurse huyu anachofanya ni sahihi kweli?

    ni sahihi ingwa sijui kama ni halali!!!
  10. I

    Natafuta Vitabu

    shukrani mkuu
  11. I

    Msaada: Hoja ya kuoa wake wawili au zaidi

    David was judged so and in 2Samuel 12:10 God told him..because of this "the sword shall never depart from your house, because you have despised me" and again God let die the child who was the fruit of this unholy sex as a punishment to David. The case of Solomon after sinning by taking many...
  12. I

    Msaada: Hoja ya kuoa wake wawili au zaidi

    absolutely hakiwezi kukoma..give them an inch and they take a yard..give them a yard and they take a mile..
Back
Top Bottom