Recent content by Injili na Baraka

  1. I

    Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

    Hapo unashindwa kuelewa nini ndugu! Hiyo pesa niliyo ifanyia hesabu ni kiasi kilicho ongezeka bila makato.. issue ya makato ni jambo lingine
  2. I

    Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

    Acha ubishi kinapandishwa kima cha chini hivyo asilimia inawabusti madaraja yote ya mshahara
  3. I

    Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

    Weka hivi 23.3÷100×Basic salary yako Mfano 23.3÷100×940000= 219202 Sasa hiyo ndio nyongeza ya asilimia 23.3%kabla ya makato mengine
  4. I

    Yamemkuta, kuweni makini mambo ya nyota

    Mpeleke kwenye maombi amefungwa
  5. I

    Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

    Mzee mbona mapema unalalamika subiri July uone
  6. I

    Ni dhambi gani kubwa inayoweza kumwangusha mtu kiroho na kimwili?

    Kwenda kinyume na ukweli ulioufahamu kumuhusu Roho MTAKATIFU na utendaji kazi zake kwa mfano..Wewe ni mtumishi wa Mungu mchungaji au Mwinjilisti Roho MTAKATIFU akakupatia karama ya uponyaji, na ukafanya Huduma hiyo kwa muda na ukaona ishara na miujiza watu wakifunguliwa kupitia karama hiyo...
  7. I

    Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

    HUDUMA YA YESU ILIKUWA IKIBEBWA NA WATU WAKUBWA SAAANA KUTOKA KWENYE SERIKALI YA KIRUMI WATU HAO WALIKUWA WAKIMFUATA YESU KWA SIRI MNO NA WENGINE WALIKUWA NI MAAFISA SERIKALINI LAKINI NI WANAFUNZI WA YESU KWA SIRI WAWEZA KUPITIA MAANDIKO HAPA CHINI 👇🏾👇🏾👇🏾 Luk 8 (SUV) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ² na...
  8. I

    Ni dhambi gani kubwa inayoweza kumwangusha mtu kiroho na kimwili?

    Fanya vyoote usiguse kabisa KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU
  9. I

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    TTCl wameongeza kifurshi kinaitwa bufee umo unajipakulia utakavyo
  10. I

    Hiyo ramani inaweza gharimu jumla kuu Bei gani

    Kwa gharama za sasa vifaa kupanda mpaka kukamilika 30m haipungui
  11. I

    Nipo hatua ya kupaua, nijuzeni bei ya vifaa hivi kwa Dar

    Punguza misumari ya kenchi iwe 12kg
  12. I

    Naota nakimbizwa na nyoka

    POLE KWA HILO UNALOPITIA..NYOKA KWA TAFSIRI YA KIROHO NI JINI AU PEPO LINAKUJA KWA NAMNA AU UMBO LA NYOKA..NA JINI LIKIJA KWA NAMNA HIYO HUWA NI ISHARA YA HATARI KWAKO.. YAPO MAMBO YA KUFANYA..USHAURI NENDA SEHEMU YEYOTE KWENYE HUDUMA YA MAOMBI UFANYIWE MAOMBEZI UFUNGULIWE. NINA AMINI YESU...
  13. I

    Je, huu ni mwendelezo wa Serikali kutudharau Walimu Shule za Msingi?

    Kwanza nikurekebishe kidogo wewe mwandishi binafsi unaonekana sio Mwalimu..kwasababu Kwa elimu ya msingi kipindi hiki cha mitihani wapo likizo, na jambo lingine wanafunzi wengine wasio wa darasa la mitihani hawaruhusiwi kufika shule..sasa Mwalimu umepataje fursa ya kutoa zoezi kipindi cha mitihani
  14. I

    Msaada tutani: Je, website hii iliyokuwa inatoa Salary Slips nayo pia ilikuwa ni ya Serikali?

    Hili tatizo wengi tuliojiunga na watumishi portal tatizo hilo lipo..ingia kwenye website ya mof kuna namba wapigie siku za kazi, hakikisha unapopiga una check number ili wakusajili
Back
Top Bottom