ukweli wabunge wakiwa bugeni usahau kile walichokisoma shuleni kuwa bunge kazi yake ni kuisimamia serikali na wako pale kwa niaba yetu sisi wananchi.
Kazi hii huwa hawaifanyi na kuishia kuisifia serikali wakijua kuwa hatuna cha kuwafanya pindi wasipotimiza wajibu wao huo wa kikatiba.
Kuwa...
msaliti wa pesa za wa tanzania hawezi kusamehewa, ccm mlizania ni wakati wa kuokota tena kama singida, subili dawa inachemka, msaliti ni msaliti tu dhambi hii aifi
Huu ndo wakati wa kuwafundisha adabu wauni wote wanaofikilia kuendelea kuchezea pesa zetu kwa mambo ya kijinga kabisa, huku hatuna maji zaidi ya yule ya chumvi, barabara vumbi tu, alafu jitu linafikilia kuhama chama alafu lichaguliwe tena.
Watanzania tuamke na tukatae kuchezea pesa zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.