Recent content by Inec

  1. I

    Nimepata mkopo usiku huu kutoka HESLB

    naomba na mimi mniangalizie link inagoma kufunguka
  2. I

    Nauliza. Bodi kuniandikia hivi nini maana yake?

    mimi pia nmeandikiwa not allocated
  3. I

    msaada tafadhali

    jamani nmesikia kuwa bodi ya mikopo imeachia second lot je ni kweli kwasababu nmejaribu kuaccess website yao cjaona kitu kama hicho
  4. I

    Msaada tafadhali

    hawaelezei kwenye website yao ndo maana nkaomba kwa anayejua anisaidie
  5. I

    Msaada tafadhali

    samahani ningependa kujua kuhusu muccobs je wanatoa admission letter na kama wanatoa tunazipataje
  6. I

    Uliza swali lolote kuhusu chuo cha MUCCOBS hapa ujibiwe

    samahani ningependa kujua je muccobs wana admission lettres na kama wanazo mtu aliyechaguliwa anapataje
  7. I

    MOSHI USHIRIKA

    tupo hapa
  8. I

    UDSM on Air...

    Samahan hizo fomu zao ukizidownload unazi print au
  9. I

    UDSM on Air...

    Jamani kuna yeyote aliyeshatumiwa adimision letter
  10. I

    Msaada wa ku-save selection waugwana TCU

    Mbona kwenye pc mambo n yaleyale unaambiwa page not found
  11. I

    TCU kazi kwenu leo

    Haifunguki ase
Back
Top Bottom