Masharti km kwa mganga…. Uo ni uoga tuu kuwasha na kuondoka sio mbaya mbaya kuizima ghafla wakati umetoka masafa…
Gari yenye turbo haibembelezwi hivyo uki accerelate inapokea yenyewe.
Au gari yako yakufugwa nn?
Budget y mafuta km 200k kwa mwezi, ndugu chukua ist…
Au labda Km kazi kwako n mtaa wa nyuma hapo, Maana tukianzia subaru budget ya 400k fuel per month inaweza kuwa ndogo pia…
Note: engine yoyote inayoanzia Cc 2000 and above kwa week tena normal driving ni laki 1 to laki 40. ( 20k per day)
Ww umejenga mabanda ya uani mdaula huko zen waja kutupigia kelele…
Mwenye nyumba hana kelele hivyo. Ww sema unabanda la kuegesha ubavu..
Na kwa maisha hayo ya kulala na tandu bora nipange kwanza.
So ulianza na pungufu y m.4?
Oya mleta mada ukisikia kuingia mkenge ndo huko sasa…
Achana n pharmacy km mtaji wako mdogo, ukikwamwa sn ni check inbox hope u need much details, ila ukisikiliza miruzi y humu umeisha
Wew
Hata nikisema na pharmacy utaniamini?
Ok hiyo n professional yangu na nina experience zaidi ya miaka 8 sasa, kwa mtaji wa milion 15 hapo hakuna pharmacy (hata km n Hela ya dawa tuu) hiyo DLDM labda km huelewi Maana y pharmacy unazani ni duka la starter za kuku na vyakula vya mifugo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.