Recent content by Inanda

  1. I

    Kubadilika kutoka “selected for oral interview” kuwa “shortlisted interview”

    Labda umekuwa selected kwa ajili ya ajira, shida iko wapi? Au wameandika selected for what?
  2. I

    Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi 2025 usipokuja Kugombea Bara tutaandamana uje uwe Rais wetu Kilazima, tunakuhitaji mno

    Wewe jamaa haueleweki. Kuna nyuzi kibao unamsifia JPM na kuna nyuzi kibao unamponda JPM. Kuna nyuzi kibao unamsifia mama na kuna nyuzi kibao unamponda mama. Kuna nyuzi kibao unamsifia Bashite na kuna nyuzi kibao unamponda Bashite. Kwa kifupi wewe ni shithole.
  3. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Mambo ya kusikitisha sana. Hii inchi ni ngumu sana.
  4. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Acha kuongea kitu usichokijua. Huko chuoni kuna kipi ambacho mwenye cpa hajakisoma? Kwa hiyo huo utaratibu waliuanzisha kwa faida ya nani? Anyway mahakama itatoa direction.
  5. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Serikali moja lakini taasisi zake hazielewani.
  6. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Acha kuongea kwa kukaririshwa. Unaongea tu kwa sababu hizo terminology umezisikia mahali. Lazima uelewe unaposema professional qualification kuna nini ndani yake. Labda kwa kukusaidia tu professional qualification ndani yake kuna hiyo academic qualification. Kwa lugha nyepesi ni kwamba...
  7. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Wataenda kutuelezea mahakamani wapi wanachanganyikiwa.
  8. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Tulishaliwasilisha hili swala NBAA na wao walishatujibu tayari walishawasiliana na Utumishi.
  9. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Serikali ya Tanzania inasikitisha sana. Yaani hakuna harmonization kabisa. Taasisi za serikali kama vile hazina maelewano.
  10. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Shida sio kusoma degree kwanza. Kwani wangeweka kigezo cha degree kama minimum entry ya cpa nani angelaumu? Shida ni kwa nini serikali ilianzisha kitu hiki. Jaribu kuwa mwelewa unaposoma kitu.
Back
Top Bottom