Mimi nadhani Simba wacheze formation ya 5-3-2 nyuma waanze na Manula kama kawaida beki wawe
Wawa
Onyango
Gadiel
Tshabalala
Kapombe
Ame
Nyoni
Mkude
Luis
Morisson
Boko/ Kagere kina kapombe na Tshabalala wanakuwa wanacheza kusaidia kiungo na wakati wanashambulia kupeleka timu mbele
Pamoja na Uganda kuwa nchi ya chama kimoja majudge wao ni watu huru kuliko maelezo Angalia bunge lao lilivyo .Rebeka kadagha anampeleka Museven mpaka unashangaa kama ni member wa NRM huku kwetu wangebadili jinsia nadhani sisi tunaujinga mwingi wa kichama kuliko uhalisia wetu wa maendeleo..
Ajibu na Yondani mliwafanyia scout haa eti Moro alikuwa beki bora Zambia mkavutiwa nae na Ukhbor na Yikpe mlimfanyia pia hata Sibomana mkawa na timu hatari Morrison kama mlifanya scouting msingempa mkataba wa meizi sita halafu Yikpe mkampa mkataba wa mwaka ...
Hivi na nyie Ajibu na Yondani mliwafanyiaga scouting ushabiki wa simba na yanga ni kichefuchefu..Lamine Moro Simba iliwafanyia scouting mbona mlibeba na yula Ukhbor straika walifanya majaribio Simba wote
Nasikia ni kwa sababu hakuna hela na mawaziri wataongeza gharama ikabidi ateue hao ili kuona pesa inayoingia na nini watafanya kwenye diplomasia ili kupata ahueni na mwelekeo na Mpango ni wa kuzisaini. Ni tetesi za kitaa lakini
Interchange ndo nini huku kigoma wala hatujui mkuu basi hapo dar mpeni kura kwa wingi ili mpite kwenye interchange mkiwa na hofu kama hamjawahi kuchangia kodi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.